Jukwaa la watumiaji wa Blackberry..share tips and tricks

Jukwaa la watumiaji wa Blackberry..share tips and tricks

guys,naomba nifahamishwe kuhusu internet access via blackberyy, yaani i cant access internet kabisaa,so how do i get connected to the internet?
then ikiwa tayari, hii kitu inayoitwa BBM,inakuwaje? how unajiunga, malipo yake yako vipi??
 
Kuna service special kwa blackberry ambazo unalipia kwa wiki au mwezi(e.g tigo 7000/week,20000/month) au waweza kudownload browser kama opera mini na ukatumia kwa credits ulizonazo ktk simu
 
guys,naomba nifahamishwe kuhusu internet access via blackberyy, yaani i cant access internet kabisaa,so how do i get connected to the internet?
then ikiwa tayari, hii kitu inayoitwa BBM,inakuwaje? how unajiunga, malipo yake yako vipi??
Mkuu kinachoniudhi kuhusu BB ni kuwa ukitaka ku enjoy internet na appl zake inabidi ujiunge na vifurushi vyake ambavyo ni bei ghali kama kuliko hata bundle zingine za pc.
kulipia elf7 kwa week au elf30 kwa mwezi kwaajili ya matumizi ya internet kwa simu tu naona kama ni anasa, bado ulipie maongezi na huku una pc
Mimi nadhani BB kwa matumizi ya kawaida sio nzuri sana labda kwa maswala ya kikazi zaidi, ni mtazamo tu
 
Mkuu kinachoniudhi kuhusu BB ni kuwa ukitaka ku enjoy internet na appl zake inabidi ujiunge na vifurushi vyake ambavyo ni bei ghali kama kuliko hata bundle zingine za pc.
kulipia elf7 kwa week au elf30 kwa mwezi kwaajili ya matumizi ya internet kwa simu tu naona kama ni anasa, bado ulipie maongezi na huku una pc
Mimi nadhani BB kwa matumizi ya kawaida sio nzuri sana labda kwa maswala ya kikazi zaidi, ni mtazamo tu
Kama hutumii BB services huna haja ya kumiliki Blackberry!
Ni bora ununue tu simu ya tochi.
Vifurushi vyenyewe siyo gali! Kama tigo kwa 20,000 unaenjoy service mwenzi mzima
 
Ever wondered why your BB is moving slow? Every action on your BB is logged, which in time will slow your bb down...At least once a week, hold ALT key and press LGLG (the letters) while on your home screen. You will see the logs. Then click the Blackberry menu button and select "clear log" this keeps ur phone moving 100% faster...!NOW THIS IS A WORTHY BLACKBERRY BROADCAST..

Thanks. Didn't know
 
Mkuu kinachoniudhi kuhusu BB ni kuwa ukitaka ku enjoy internet na appl zake inabidi ujiunge na vifurushi vyake ambavyo ni bei ghali kama kuliko hata bundle zingine za pc.
kulipia elf7 kwa week au elf30 kwa mwezi kwaajili ya matumizi ya internet kwa simu tu naona kama ni anasa, bado ulipie maongezi na huku una pc
Mimi nadhani BB kwa matumizi ya kawaida sio nzuri sana labda kwa maswala ya kikazi zaidi, ni mtazamo tu

yeah, shukran for your cooperation, and really i wont be using internet saana kwenye cmu, yaani incase of emergency tu ndiyo nitaitumia,
 
Kuna service special kwa blackberry ambazo unalipia kwa wiki au mwezi(e.g tigo 7000/week,20000/month) au waweza kudownload browser kama opera mini na ukatumia kwa credits ulizonazo ktk simu

ohky blackpearl, guec from the pirates of the carribean!!
 
THANK YOU, SO WHAT ABOUT THE CONFIGURATION? I mean ili niweze kutumia internet? do i need mpaka kwenda kwa tigo wenyewe, i have been trying ila olahaa, cjui nakosea wapi, i rember when i was using android phone,just nimecreate profile and imework fresh, did not need to ASk tigo for configuration!!!!
 
Dah siku ya pili now server ya Blackberry ipo down!!
Nipeni alternative ya kupata internet kwenye cm yangu plzzzz
 
Tusichakachue hii thread plzz..
Hii thread ni of great value...nitrakuPM

sometimes una akili eeh? Kweli BB tangu juzi hazifanyi kazi ipasavyo na juzi huduma ya facebuku ilikuwa haipatikani nackia dunia nzima ecxept USA. Labda kuna kitu walikuwa wanatengerekebishaneza!
 
sometimes una akili eeh? Kweli BB tangu juzi hazifanyi kazi ipasavyo na juzi huduma ya facebuku ilikuwa haipatikani nackia dunia nzima ecxept USA. Labda kuna kitu walikuwa wanatengerekebishaneza!
Sijaelewa hapa Sabry!
mzima lakini?
 
Blackberry net inasumba sana...sijajua kwa watu walio jiunga na blackberry kwa package ya week au mwezi, kama makampuni ya simu wata fidia siku hizi ambazo blackberry service zipo down au la...@
 
jana niliona post ya jinsi ya kutumia Blackberry bila bb service, mbona leo siioni? Maana ndio nilitaka kujaribu ila siioni
 
Mi natumia Nokia C 6-00 . Nakatwa airtime yangu ninapokuwa nabrowse. Screen ina bars kama 7 au 6.Kila bar nimeweka website (sports na news)ambayo iko online.Facebook na email niko logged in 24/7.Vyote viko kwn screen muda wote. Ila nahisi nikitumia vifurushi inaweza kuwa nafuu zaidi.Tatizo sijui namna ya kujiunga na vifurushi kama ninavyofanya kwenye modem.Naomba ushauri.
 
Mi natumia Nokia C 6-00 . Nakatwa airtime yangu ninapokuwa nabrowse. Screen ina bars kama 7 au 6.Kila bar nimeweka website (sports na news)ambayo iko online.Facebook na email niko logged in 24/7.Vyote viko kwn screen muda wote. Ila nahisi nikitumia vifurushi inaweza kuwa nafuu zaidi.Tatizo sijui namna ya kujiunga na vifurushi kama ninavyofanya kwenye modem.Naomba ushauri.
Mkuu umechakachua hii sredi na Nokia yako, hii ni sredi ya watumiaji wa BB tu.
Hata hivyo ukitaka kujiunga na vifurushi vya simu vipo
Vodacom ni sh 500 kwa siku
Airtel 2500 unapata mb 400 kwa mwezi
Tigo pia wanavyo na wengine
Tembelea website zao
 
Back
Top Bottom