Jukwaa la watumiaji wa Blackberry..share tips and tricks

Jukwaa la watumiaji wa Blackberry..share tips and tricks

Ginner

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2011
Posts
1,576
Reaction score
2,218
nimebaini hapa jukwaani kuna watumiaji wengi sana wa blackberries kuliko vile nilivokuwa nategemea. Simu izi zipo tofauti sana na simu za kawaida na inavitu vingi sana ambavyo watu wengi hatuvijui...karibuni wanandugu,,kama mna knowledge yoyote juu ya blackberry tushikishane hapa
 
kama ni mtumiaji wa twitter follow BlackBerryHelp for tips n tricks as well as handling ur BB freshy....
 
Hakuana App nzuri kwa ajili ya social networks kama UberSocial,try it out!!
<br />
<br />
Mkuu hiyo uber social ninayo ila nashindwa kuitumia...inatumikaje na ni kwa twitter pekeake haina facebook na social network nyingine
 
Crackberry.com......ts the best website kwaajili ya applications mbali mbali za BB
 
Kwa wenye hzo akaunti za social network na mna BIS mnaweza kuwa online 24/7 anaeingia kwenye computer atakuona kwenye chat
 
Wanaotumia nokia za tochi wanipm niwape tips.
 
Kwa wenye hzo akaunti za social network na mna BIS mnaweza kuwa online 24/7 anaeingia kwenye computer atakuona kwenye chat
<br />
<br />
Basi kuna hii pia inaitwa nimbuzz..ni nzuri sana nayo maana unaweza ukawa online na uka chat live na friends wako wote wa yahoo,facebook, haves, hi5 na nyingine nyingi..inapatikana kwenye webiste ya nimbuzz na inafaa kwa simu zote zenye uwezo wa internet
 
Nataman nichat na mtu kwa kutumia messenger wakuu...anaependa anitumie mail yake kwa PM ntamtafuta.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Basi kuna hii pia inaitwa nimbuzz..ni nzuri sana nayo maana unaweza ukawa online na uka chat live na friends wako wote wa yahoo,facebook, haves, hi5 na nyingine nyingi..inapatikana kwenye webiste ya nimbuzz na inafaa kwa simu zote zenye uwezo wa internet
<br />
<br />
Mimi ninayo lakini sijaona, unatumiaje fb,tt nk?
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Mimi ninayo lakini sijaona, unatumiaje fb,tt nk?
<br />
<br />
Ingia kwenye settings...nenda kwenye manage I'm accounts ...hapo uta sign in kwenye facebook..aim...live messenger...my space...google talk....hyves na icq...na wasiwasi kama twitter wapo katika hili
 
Nataman nichat na mtu kwa kutumia messenger wakuu...anaependa anitumie mail yake kwa PM ntamtafuta.
<br />
<br />
Kaka samahani iyo huduma unaiactivate vip...
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Kaka samahani iyo huduma unaiactivate vip...
<br />
<br />
kwenye bb messenger(km ushaifuta download kwenye bb app world its free)unaingiza email ya mtu afu unatuma meseji inatokea page flan hv ya kuchat akikujibu mwenzio inatokea kwa chini ya msg uloituma.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Ingia kwenye settings...nenda kwenye manage I'm accounts ...hapo uta sign in kwenye facebook..aim...live messenger...my space...google talk....hyves na icq...na wasiwasi kama twitter wapo katika hili
<br />
<br />
twitter, haipo ktk kuchat, ila waweza pata updates zake. Na unaweza uka2ma mms kwa unaechati naye. vilevile unaweza check locatn ya m2 unaechat nae! Enjoy.
 
wakuu mimi mtumiaji wa Iphone lakini nilishakuwa na BlackBerry hivyo kuna hizi 'keygen' za applications za BlackBerry mnaeza kutumia kuCrack applications zilizoko kwenye hii list..

Here is a list of available keygens for blackberry apps (Updated)


mblware Keygen
BlackBook 2.0
FaceRate 1.0
ContactOrder 1.0
mblStats 1.0.2
mblVault 1.0.1
ShateItup 1.0 (Storm)

Toysoft keygens
AppClock 1.0.2/1.0.3
Ballz 1.0.3
BatteryInfo 1.1
BBPTable 1.0
BQuiet 1.1.2
BuzzOff 2.1
CalendarAppIcon 1.0.3
CallNotes 2.0.2
CallTools 3.0
DemoMaker 1.0
DIPCalc 1.0.1
FakeCall 2.0
GoFish 1.0.2
iamhere 1.0
iCalendar 1.2
Image Edit
KamaSutra 1.0.2
KoolSound 1.0
KoolSounds 2.0.1
LocationProfiler 1.1
Lucky7Slots 1.0.2
magicIcon 1.1
myCallLogs 3.0.1
myScheduleNFL 1.1
myStocks 1.0.8
NotNow 2.0
PictureDial 2.0
PictureDialer 1.1
PictureDialer 3.x
PictureID 2.3.6
ProfilerPro 1.0
RandomTones 2.0
SeaBattle 1.0
SendIt 1.0.2
SMSCounter 1.2
SMSPic 1.1
Shortcut Manager 1.0
SuperPower 1.2
SysInfo 0.5 (Strom)
TapOMania 1.0
TipCalc 1.0
VisualArts 2.0
VoiceMemo 1.0.1
WackOMole 1.0

All-in-one Keygen for some important soft
(reputations to Brakelyn)
Addonis
BerryBuzz 2.x
BerryPopup
BerryScrol (Storm)
BerrySilent
Berryweather 1.x
Blink
Camera To Go 0.3
Fake Call v2
FancyCharacter 2.x
IntelliLaunch
Meterberry
Profiler Pro v1
TiggitMail 1.1.18.1
TinyAlarm
Quicklaunch
QuickPull pro 3.x
SafeBox 0.0.3
SmartAlert
WifiFileTransfer


Some games Keygens
(reputations to Brakelyn)
Cliffed
Escape



Download application yeyote yenye trial alafu tumia keygen husika kuiCrack..nimeAttatch keygen 4 zenye uwezo wa kucrack application zilizopo kwenye list.. Run keygen husika alafu tumia BB Pin yako kuCalculate unlock code ya application yako.. enjoy....!



'when you go Mac, u never go Back'..!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
twitter, haipo ktk kuchat, ila waweza pata updates zake. Na unaweza uka2ma mms kwa unaechati naye. vilevile unaweza check locatn ya m2 unaechat nae! Enjoy.
<br />
<br />
Twitter haipo kabisa katika nimbuzz....ila unaweza post files pics na hata mp3 musiqs kwa mtoto yeyote alie friend wako katika mitandao ya kijamii tajwa hapo huu
 
Cha kusikitisha kuhusu Blackberry ni kwamba kuanzia next version ya OS, yaani BB OS 8, inategemewa kutumia mfumo wa QNX centrino, maana yake ni kwamba simu zote ambazo zimetoka kabla ya BB OS8 hazitakuwa compatible na Apps za BB OS 8. Nadhani hata hivyo it's a step worth taking kwa sababu BB OS imekuwa nyuma sana kulinganisha na iOS na Android.
 
Kama unataka kuwa na Twitter updates, Facebook Post na RSS feeds sehemu moja app nzuri ni Social Feeds
 
nionavyo mimi RIM wako desperate sana kwenye kukompete na other device softwares....os6 haijakaa hata zaidi ya mwaka mara os7 ikatoka na hizi bb mpya za mwezi wa 5......mara os8 iko njiani?naona ukiiendekeza BB utalala hoi..
anywei BB its a nice 4ne ingawa natamaaani sana nitumie iphone ili niweze kuonja utamu wake.so far so good na BB.
 
Back
Top Bottom