rashidikurwa
Member
- Jul 16, 2017
- 34
- 26
Ingekuwa ni kina fulani wamefanya hivyo ungeitishwa kabisa mkutano wa waandishi wa habari kutoa tamko!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema walifanya jambo la kipumbavu sana kwa kuwatimua waandishi wa TBC.
Nimewadharau sana chadema kwa hili. Hovyo kabisa.
WEWE HATA UKIWADHARAU NA UHAKIKA TBCCM INADHARAULIKA MARA 9999999999 HATA MWENYEWE UNAIDHARAU.BY THE WAY WAJE KUFANYA WAKATI HAWATARUSHA?Chadema walifanya jambo la kipumbavu sana kwa kuwatimua waandishi wa TBC.
Nimewadharau sana chadema kwa hili. Hovyo kabisa.
Tbc ni chombo cha habari, hivyo hicho unachosema kwao siyo rahisi kutokea. Lakini pia ikiwa mtu anachukua habari zako halafu hatoi, ana sababu ipi ya kupewa habari? Pengine hana nia njema na wewe.Hoja ni walishawahi kuzuia mwandishi wa wa chombo chochote asitekeleze wajibu wake kama chadema walivyofanya?
Msimamo wako kwa Polish kuwatimua waandishi wa Habari pale central wakati Lisu amekamatwa ni upi boss.Chadema walifanya jambo la kipumbavu sana kwa kuwatimua waandishi wa TBC.
Nimewadharau sana chadema kwa hili. Hovyo kabisa.
Unazijua Ofisi za Chadema wwe? Huo ukumbi unaouongelea labda upo juu ya paaHao TBC walienda kujaza ukumbi na kuleta joto humo ndani...Hata kama wangeruhusiwa hiyo habari wasingerusha huko TBC...ni sawa tuu walivyowatimua...
TBC na kurusha habari za Chadema wapi na wapu..? Hilo jukwaa liache unafiki
tanzania tanzania nakupendaHao TBC walienda kujaza ukumbi na kuleta joto humo ndani...Hata kama wangeruhusiwa hiyo habari wasingerusha huko TBC...ni sawa tuu walivyowatimua...
TBC na kurusha habari za Chadema wapi na wapu..? Hilo jukwaa liache unafiki
Chadema should practice what they preachJukwaa la wahariri limepokea kwa masikitiko taarifa za kufukuzwa kwa waandishi wa habari wa kituo cha runinga cha TBC wakati wakitekeleza majukumu yao.
Wamesema kwamba vitendo vya kuwabugudhi waandishi wa habari haviwezi kupewa nafasi katika jamii na Uongozi wa CHADEMA uchukue hatua stahiki kuhusu suala hili.
View attachment 552759
TBC ya nin sasaNawapongeza Chadema kwa kazi nzuri waliyoifanya ya kuwatimua hao TBCCM
Jukwaa la wahariri limepokea kwa masikitiko taarifa za kufukuzwa kwa waandishi wa habari wa kituo cha runinga cha TBC wakati wakitekeleza majukumu yao.
Wamesema kwamba vitendo vya kuwabugudhi waandishi wa habari haviwezi kupewa nafasi katika jamii na Uongozi wa CHADEMA uchukue hatua stahiki kuhusu suala hili.
View attachment 552759
Jukwaa la wahariri limepokea kwa masikitiko taarifa za kufukuzwa kwa waandishi wa habari wa kituo cha runinga cha TBC wakati wakitekeleza majukumu yao.
Wamesema kwamba vitendo vya kuwabugudhi waandishi wa habari haviwezi kupewa nafasi katika jamii na Uongozi wa CHADEMA uchukue hatua stahiki kuhusu suala hili.
View attachment 552759