Jukwaa la mmu lipo hatarini


Lol! Mkare ntapata 2!
 
Lizy usilale bhana njo nikibembembeleze kwanza
 
ucngz hauckk na huwez kuuckia lizy una2ongopea umeuckiaje
 
nmetafu2ta krefu cha MMU mpaka nmepata me ni kwkw, kule hamna inshu!
 
Jukwaa la MMU inaweza kukosa mvuto kwa ajili ya jukwaa la Chit Chat,hii ni kutokana na members wa MMU kuhamia huku halafu
isitoshe huku mada zote zinajadiliwa.

MMM, itaendelea kuwepo kama kawaida, kwani huku Chit-Chat kuna nini cha maana?
 
Na wewe Lizzy mpaka mida hiyo ulikuwa unachat na hubby wangu ,,,la ndo maana siku hizi unyumba wa mafungu:A S-coffee:
Hehehehe, mama wa kwanza mi jana nimelala mapema kama kuku.Kama alichelewa jua ana kaPM mate kengine humu.
 
Haya majukwaa ni kama vyama vya upinzani ubongo. Vinang'ara kwa msimu. Msimu huu ni wa Chit Chat.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…