Jukwaa la mmu lipo hatarini

Jukwaa la mmu lipo hatarini

weka gundi haraka kuzuia macho yasifumbe kama huna gundi weka tuthipick kuzuia mfuniko wa jicho kujifunga, weka kwa stail tunatowekea migomba sapoti isianguke

Alafu. . . . . . ?
 
Haupo kwenye ndoto The Finest,baada ya miezi miwili jukwaa la MMU haitanoga tena
Ila kuna ka ukweli fulani aisee naona hata wale maswahiba wangu wamemisha kambi huku...hadi Mwanakijiji..lol
 
Hivi saa nne karibu na nusu ni mapema?
Mi nikifika saa mbili nusu nimejitahidi.

teh teh mbona mi niko saa moja na unusu mbele ila navumilia mpaka saa kumi
 
Excellent aamua kuja na tetesi kuwa jukwaa la MMU liko hatarini kutoweka....dah nilifikiri niko kwenye thread ya JF Udaku haya mazoea noma sana aisee
Hahaha..lol! Ile thread kiboko!
 
Twende kwenye thread ya JF UDAKU uone kama utasinzia matokeo yake unaweza kujikuta unakesha kwenye thread hiyo hadi saa 11 alfajiri.
Dah ,nothing can keep me up aiseee. Hapa nasubiria Grimm iishe niache kukaza macho.
 
Jukwaa la MMU inaweza kukosa mvuto kwa ajili ya jukwaa la Chit Chat,hii ni kutokana na members wa MMU kuhamia huku halafu
isitoshe huku mada zote zinajadiliwa.

Sehemu za pumba siku zote zinakuwa na mvuto kwa watu ili wapunguze misongo ya mawazo.
 
Sehemu za pumba siku zote zinakuwa na mvuto kwa watu ili wapunguze misongo ya mawazo.
halafu itabamba ile mbaya,mana mapenzi humu humu,siasa humu humu,tetesi humu humu,dah jukwaa nzuri hii
 
Back
Top Bottom