Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Acha hizo bhana,mapema mno lizy
Haya niambie nibaki macho kufanya nini. . . .
Acha hizo bhana,mapema mno lizy
Hamna ban..mamod tunawapiga tu michanga ya macho. Kweli chit chat ina utamu wake!halafu itabamba ile mbaya,mana mapenzi humu humu,siasa humu humu,tetesi humu humu,dah jukwaa nzuri hii
MMU ndo wap
Halfu TF kule una tuhuma kibao..nashangaa umeziacha na ukakimbilia huku.
Ubaki unanilinda banaa..ukiondoka wanaweza kuambaa na mimiHaya niambie nibaki macho kufanya nini. . . .
Kujibu PM ulizo ignore
Ubaki unanilinda banaa..ukiondoka wanaweza kuambaa na mimi
Bar, iko posta.
Bar, iko posta.
Bar, iko posta.
ha ha ha ha mbavu zangu jaman
Rejao kule sirudi banaa...hauchelewi kugeuka sanamu au skeleton ukiingia kwenye ile thread muulize sijui nini jana kasahau kuoga, amekesha amekaa kwenye ile thread hadi asubuhi matokeo yake kakurupuka kutoka usingizini saa sita za mchana...:lol:Halfu TF kule una tuhuma kibao..nashangaa umeziacha na ukakimbilia huku.
Hahaha, nisamehe bana mi niko via mobile nod maana LIKE zangu hazifiki.Ha ha ha, mneli mbaya sana
nagonga like
afu wewe hunigongei likes, na mimi ntaacha
safiiii
Mshikaji kaisha lala?Acha tu wakusombe. . .ntakukomboa asubuhi.
Nalog off.