Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,512
Jukwaa la katiba nchini limempongeza Rais Dk. John Magufuli kwa juhudu zake kubwa anazozifanya kuirejesha nchi katika sehemu inayostahili na hivyo ina imani kuwa hayo yote yataweza kuwa katika mfumo sahihi kama kutakuwepo na katiba imara hivyo wamemuomba kuanza mchakato wa kupatikana kwa katiba mpya ili kukamilisha kazi nzuri ambayo ameinza ya kulikomboa taifa.
Hayo yamesemwa na mjumbe wa jukwaa hilo Bw. Hebron Mwakagenda wakati akisoma tamkoa kwa umma na kuzindua kitabu kinachoelezea mwelekeo wa katiba mpya kikiangazia uliponzia, ulipo na unakoelekea.
Chanzo: ITV
Hayo yamesemwa na mjumbe wa jukwaa hilo Bw. Hebron Mwakagenda wakati akisoma tamkoa kwa umma na kuzindua kitabu kinachoelezea mwelekeo wa katiba mpya kikiangazia uliponzia, ulipo na unakoelekea.
Chanzo: ITV