bullet proof
Member
- Sep 19, 2012
- 57
- 35
Leo naomba tujikumbushe baadhi ya kauli za viongozi wa CHADEMA ambazo ni ''contradictory'' na "controversial":
1. Katiba ya sasa sio ya wananchi kwa sababu wananchi hawakutoa maoni wakati wa kuandikwa..SLAA: Nikiwa rais NTAWAPATIA katiba mpya ndani ya SIKU 100. Je, siku 100 zingemtosha SLAA kukusanya maoni na kuandika katiba mpya?
Kama ahadi tu zinatia shaka, watawezaje kuweka ahadi zao kwenye matendo(utekelezaji)?
1. Katiba ya sasa sio ya wananchi kwa sababu wananchi hawakutoa maoni wakati wa kuandikwa..SLAA: Nikiwa rais NTAWAPATIA katiba mpya ndani ya SIKU 100. Je, siku 100 zingemtosha SLAA kukusanya maoni na kuandika katiba mpya?
Kama ahadi tu zinatia shaka, watawezaje kuweka ahadi zao kwenye matendo(utekelezaji)?