Arusha MkuuPande gani upo
Yes it is Possible mkuu make hata Azam sidhani kama anamuda kusambaza nchi nzima, make hata nikikomaa kivyangu siwezi sambaza hata Mkoa mmoja tu kwa sasa hata Mji mmoja bado ni ishu sana kwa sasaTunaruhusiwa kukopi na kupesti.?
Hongera sana mkuu
Wadogo zetu na watoto wetu watapata nafasi ya kulijua togwa hongera sana mkuu.Ndio faida yake mkuu, nina furaha kuona kitu cha namna hiyo, target kwenye marketing lakini kwa bidhaa inajiuza yenyewe,
Hongera mkuu, sema kwangu mm nna stereotype kua togwa ni kilevi tokea nikiwa bwana mdogo😂. Itabidi nije kujaribu juisi ya nafakaWakuu, nimeanza kuzalisha Juice ya nafaka au Togwa kwa jina jingine na kuipack kabisa, Yaani inakuwa packed na inakaa muda mrefu sana.
Togwa zinanywekwa kwenye nchi nyingi za Africa ukianzia South Africa kupanda juu, hadi Ethiopia kote huko.Kinacho tofautishwa sana ni Majina ila ukiona kilicho ndani ni kile kile. Mfano Soutj Africa na hadi Zimbabwe wanaita MAHEWU, hii ni ni togwa kabisa na iko packed na inasambazwa.
Kuna nchi hadi Cocacola Company imejitosa na kuzalisha na kupack togwa kabisa.
Ni Bahati mbaya sana sisi tumelala sana kama ilivyo ada yetu. Naweza kwa baadae kuja kitoa Techinic isue
View attachment 1927305View attachment 1927315View attachment 1927318View attachment 1927322
Wakuu, nimeanza kuzalisha Juice ya nafaka au Togwa kwa jina jingine na kuipack kabisa, Yaani inakuwa packed na inakaa muda mrefu sana.
Togwa zinanywekwa kwenye nchi nyingi za Africa ukianzia South Africa kupanda juu, hadi Ethiopia kote huko.Kinacho tofautishwa sana ni Majina ila ukiona kilicho ndani ni kile kile. Mfano Soutj Africa na hadi Zimbabwe wanaita MAHEWU, hii ni ni togwa kabisa na iko packed na inasambazwa.
Kuna nchi hadi Cocacola Company imejitosa na kuzalisha na kupack togwa kabisa.
Ni Bahati mbaya sana sisi tumelala sana kama ilivyo ada yetu. Naweza kwa baadae kuja kitoa Techinic isue
View attachment 1927305View attachment 1927315View attachment 1927318View attachment 1927322
Ni kinywaji Cha Nafaka,Hongera mkuu, sema kwangu mm nna stereotype kua togwa ni kilevi tokea nikiwa bwana mdogo[emoji23]. Itabidi nije kujaribu juisi ya nafaka
Hahaaaaa, nitawekaTuwekee recipes mkuu hapahapa, mtu akipita apate na idea ya biashara.
Kabisa mkuuuHongera sana kwa uthubutu, ubunifu na kutekeleza kivitendo unachokihubiri mjasiriamali. Mimi nimnywaji mzuri wa vitu vya asili kama hapo siwezi kununua juice ya azam au jambo nikaacha togwa. Ningekuwa arusha ningekutafuta Leo hii.
Jikite sana kutafiti mikoa mbalimbali mpaka vjijini ili kupata mbinu mbalimbali za utengenezaji kwasababu nimeona karibu kila mtu au eneo au tamaduni au kabila lina namna yao inayotofautiana katika upishi, recipes na ladha. Dodoma, Kanda ya ziwa kuna togwa nzuri sana
Kabisa mkuu make tunalishwa vitu vingi mnoKilichobaki ni kutarget niche ya afya tu hapa bongo.
Je kama unafanya pasteurization haina effect kwenye final product? Mfano ladha n.k