Juhudi hizi zote wanafunzi wasipoelewa basi tena!

Excellent wala sio suala la ubao kuwa mfupi
Hayo ni manjonjo tuu ya mwalimu aise
Wanafunzi wakitoka hapo full kumwigiza

ila sometimes kufundisha kunakuwaga na mzuka flani,unajikuta unamwaga material mpaka unajisahau
 
Yaani hapo hata wanafunzi wakitoka hapo hawaelewi lolote walilolipata kwenye somo ni kumuigiza mwalimu
gfsonwin hebu niambie kweli hii mbinu inawafaa wanafunzi kuelewa au watakuwa wamepata cha kuigiza

hapo jina analo tayari unacheza na wanafunzi wetu hawa? ila anajitum sana lkn ndo ivo tena hakuna anayemwona zaid ya kumfanya katuni
 
155230_495256987159021_1113399747_n.jpg
Excellent, Umenikumbusha mwalimu wangu wa FIZIKIA pale Mzumbe (Advanced Level) aliyekuwa akijilikana kama MKHOMBOTHI miaka ile haijawa ya ya VIPAJI MAALUM. Pembeni yake alikuwepo mwalimu aitwaye MGANDA, bonge la Bishoo, vitu viwili tofauti katika shule moja. Ilikuwa shughuli!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Wazumbe msio na Vipaji Mpoooo?!?!?!?!?!


Ndimi Bazazi!
 
Last edited by a moderator:
Excellent, Umenikumbusha mwalimu wangu wa FIZIKIA pale Mzumbe (Advanced Level) aliyekuwa akijilikana kama MKHOMBOTHI miaka ile haijawa ya ya VIPAJI MAALUM. Pembeni yake alikuwepo mwalimu aitwaye MGANDA, bonge la Bishoo, vitu viwili tofauti katika shule moja. Ilikuwa shughuli!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Wazumbe msio na Vipaji Mpoooo?!?!?!?!?!


Ndimi Bazazi!

Mkuu wengi wametumia sana hii style sema tu wakati ule hii technolojia ilikuwa duni
 
Back
Top Bottom