Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,035
- 828,829
MIMI:- Mwalimu, nina swali ππΎββοΈ
MWALIMU:- Ni lipi? π
MIMI:- Unamweka aje tembo ndani ya friji? π
MWALIMU:- Sijui π
MIMI:- Ni rahisi sana, unafungua friji na kuweka tembo ndani π
MWALIMU:- Sawa π
MIMI:- Na unamweka aje punda ndani ya friji? π
MWALIMU:- Rahisi sana, unafungua friji na kuweka punda ndani π
MIMI:- Hapana, kwanza unatoa tembo kisha unaweka punda ndani π
MWALIMU:- Ooohhh sawa π€π
MIMI:- Nina swali lingine ππΎββοΈ
MWALIMU:- Endelea π€
MIMI:- Kama wanyama wote watahudhuria sherehe ya kuzaliwa ya simba, ni mnyama gani hatakuwepo na kwa nini? π
MWALIMU:- Wanyama wote hawatakuwepo kwa sababu simba atawala π
MIMI:- Hapana, ni punda kwa sababu bado yuko ndani ya friji π
MWALIMU:- Lazima uwe na kichaa π
MIMI:- Mimi sio kichaa,... swali la mwisho ππΎββοΈ
MWALIMU:- Sawa, endelea π
MIMI:- Utavukaje mto uliojaa mamba na hakuna daraja?
MWALIMU:- Si rahisi, nitatumia boti π€¨
MIMI:- Hapana, wanyama wote walihudhuria sherehe ya kuzaliwa ya simba, kwa hiyo mamba pia yuko huko, wewe pita kwa kuogelea tu ππ½ββ
MWALIMU:- Wewe ni mjinga, toka darasani mwangu ππ€§
...π€£π€£
MWALIMU:- Ni lipi? π
MIMI:- Unamweka aje tembo ndani ya friji? π
MWALIMU:- Sijui π
MIMI:- Ni rahisi sana, unafungua friji na kuweka tembo ndani π
MWALIMU:- Sawa π
MIMI:- Na unamweka aje punda ndani ya friji? π
MWALIMU:- Rahisi sana, unafungua friji na kuweka punda ndani π
MIMI:- Hapana, kwanza unatoa tembo kisha unaweka punda ndani π
MWALIMU:- Ooohhh sawa π€π
MIMI:- Nina swali lingine ππΎββοΈ
MWALIMU:- Endelea π€
MIMI:- Kama wanyama wote watahudhuria sherehe ya kuzaliwa ya simba, ni mnyama gani hatakuwepo na kwa nini? π
MWALIMU:- Wanyama wote hawatakuwepo kwa sababu simba atawala π
MIMI:- Hapana, ni punda kwa sababu bado yuko ndani ya friji π
MWALIMU:- Lazima uwe na kichaa π
MIMI:- Mimi sio kichaa,... swali la mwisho ππΎββοΈ
MWALIMU:- Sawa, endelea π
MIMI:- Utavukaje mto uliojaa mamba na hakuna daraja?
MWALIMU:- Si rahisi, nitatumia boti π€¨
MIMI:- Hapana, wanyama wote walihudhuria sherehe ya kuzaliwa ya simba, kwa hiyo mamba pia yuko huko, wewe pita kwa kuogelea tu ππ½ββ
MWALIMU:- Wewe ni mjinga, toka darasani mwangu ππ€§
...π€£π€£