Judge Warioba ateuliwa kuwa Mwenyekiti Tume ya Katiba

Mbona hakuna mwakilishi kutoka jukwaa la katiba? Naungana na mchangiaji mwingine kwamba shivji angefaa kuwa mwenyekiti wa hii tume, asingekuwa biase sababu si mwanasiasa, nategemea warioba ataweka pembeni mahaba ya uchama na kuzingatia masilahi ya nchi kwanza, otherwise mungu awape wajumbe wote busara ya hali ya juu na kuja na mapendekezo yatakayo saidia nchi yetu.
 
Unfortunately tume hii yote ni bure tu. Hakuna la maana wanaloweza kuleta kwa vile wengi wao wamekomalia ndani ya mfumo wa chama kimoja ambapo rais alikuwa na power kubwa sana. Tume ya kuunda katiba mpya ilitakiwa iwe ni tume huru kwa maana halisi; iwe na wataalamu wa katiba kutoka ndani na nje ya Tanzania. Wataalamu kama Profsa Palamagamba na Justice Augustino Ramadhani ni wataalamu ambao nina wasiwasi sana na mchango wao kwani ni sehemu ya walioshindwa kuona kuwa swala la mgombea huru lilikuwa linakikuka katiba iliyopo. Uwezo mdogo huo wa kushindwa kuona jambo kama hilo ni dalili kuwa watu hawa hawataweza kuona jambo kubwa zaidi la kbadilisha katiba.
 
Kadri tume ilivyoundwa inaonekana itazingatia maoni ya wananchi na uchakachuaji wa maoni ya wananchi utakuwa kidogo sana au hautakuwepo kabisa.
 
Jmushi1,

Sijui cha kufurahisha hapa ni nini.Unajua tatizo letu huwa tunakurupuka sana hasa tunapokuwa na furaha iliyopitiliza au hasira zilizopitiliza.tumeanza kuwa taifa la mihemko

Issa Shivji kwa weledi wake asingestahili kuachwa.Jenerali Ulimwengu,Kibamba kutoaka asasi za kiraia na Prof. Abdala Safari wasingeachwa.Labda tuungane nao nje ya Tume ili tuunde parallel commission ya kuikosoa tume iliyoteuliwa.Labda tupate taarifa ya vigezo vilivyotumika.Uwiano wa kijinsia, kiumri, uwiano wa kitaasisi na makundi muhimu ya kijamii hapo bado haujazingatiwa(nikipata vigezo na list ya timu yote inayokinzana na haya hoja hii ipuuzwe tafadhali). Wanazuoni ambao ni wanasiasa ndiyo sura ya Tume hiyo kwa haraka haraka ninapoona majina haya.

Sijui ni kitu gani kitakacho-guarantee kupata katiba bora kabla ya 2015.Pamoja na kuwa na imani na baadhi ya hawa wajumbe wa timu but (pamoja na mapungufu ) ya kimfumo katika mchakato wa kuteua,utendaji kazi wa tume hadi matokeo ya ripoti ya tume,i believe JK could do better than this

Mbona hata wewe au zitto kabwe na weledi wote ule mko nao mmeachwa?hatuwezi wooote tukawa wajumbe wa tume itakua vurugu....
 
I'm lost, nadhani kuna uelewa mdogo sana hapa kwenye jamvi... tume-hai-determine content, tume ni organization ya ku-collect, organize, prioritize, write and presenet content ya katiba kwa Bunge la Katiba!

Watu wengi mnaosema mngependa so and so wawe kwenye tume, kwa ukweli ni vyema wawe nje kwa kuwa wao ndio wanao-determine/contributing the content of the constitution!

Ndio maana hii tume-inalazimika kutunza contents zote zitakazotolewa na wananchi including majembe yenu mnaosema...

Mungu Ibariki Tanzania
 
I'm lost, nadhani kuna uelewa mdogo sana hapa kwenye jamvi... tume-hai-determine content, tume ni organization ya ku-collect, organize, prioritize, write and prsenet content ya katiba kwa Bunge la Katiba!

Watu wengi mnaosema mngependa so and so wawe kwenye tume, kwa ukweli ni vyema wawe nje kwa kuwa wao ndio wanao-determine/contributing the content of the constitution!

Ndio maana hii tume-inalazimika kutunza contents zote zitakazotolewa na wananchi including majembe yenu mnaosema...

Mungu Ibariki Tanzania
Mkuu tatizo hapa ni wananchi wanahofu kuwa maoni yao yanaweza kuchakachuliwa endapo vichwa vya maana havitakuwemo ndani ya tume. Lakini hata vichwa vilivyopo ingawa sio vyote, vinaweza kusimamia ukweli wa maoni ukabaki kuwa huo huo. Best wishes.
 
Mkuu tatizo hapa ni wananchi wanahofu kuwa maoni yao yanaweza kuchakachuliwa endapo vichwa vya maana havitakuwemo ndani ya tume. Lakini hata vichwa vilivyopo ingawa sio vyote, vinaweza kusimamia ukweli wa maoni ukabaki kuwa huo huo. Best wishes.

In fact to my knowlegde, it is the other way around, ni rahisi kwa mtu asiyemtaalamu sana ku-present mawazo kama yalivyo kuliko mtaalamu sana, maana mtaalamu sana atapenda a-present mawazo ya wananchi kama anavyoelewa yeye.... please check that school of thought as well.
 
Judge Sinde Warioba ni SHABIKI wa SERIKALI MBILI pia na Muumini mkubwa wa MADARAKA MAKUBWA YA RAIS. Wakati hayo mambo mawili ndiyo CORE ya madai ya katiba mpya!
 
I'm lost, nadhani kuna uelewa mdogo sana hapa kwenye jamvi... tume-hai-determine content, tume ni organization ya ku-collect, organize, prioritize, write and presenet content ya katiba kwa Bunge la Katiba!
Unasema tume hai determine content ya katiba halafu unasema tume ita "write and presenet content ya katiba" ....

you are not making any sense
 
Mi nadhani wengine wabaki kuelimisha umma, naomba waendelee kutuelimisha ili tujue mbichi na mbivu za katiba iliyopo...watu kama prof.Shivji nawaomba muwe mstari wa mbele kuelimisha umma na kutoa tafsiri za kile jinatakiwa kujadiliwa na hatimae Katiba mpya...
 
Unfortunately tume hii yote ni bure tu. Hakuna la maana wanaloweza kuleta kwa vile wengi wao wamekomalia ndani ya mfumo wa chama kimoja ambapo rais alikuwa na power kubwa sana. Tume ya kuunda katiba mpya ilitakiwa iwe ni tume huru kwa maana halisi; iwe na wataalamu wa katiba kutoka ndani na nje ya Tanzania. Wataalamu kama Profsa Palamagamba na Justice Augustino Ramadhani ni wataalamu ambao nina wasiwasi sana na mchango wao kwani ni sehemu ya walioshindwa kuona kuwa swala la mgombea huru lilikuwa linakikuka katiba iliyopo. Uwezo mdogo huo wa kushindwa kuona jambo kama hilo ni dalili kuwa watu hawa hawataweza kuona jambo kubwa zaidi la kbadilisha katiba.

Wajumbe kutoka Zanzibar hakuna mkristo why?
 
I'm lost, nadhani kuna uelewa mdogo sana hapa kwenye jamvi... tume-hai-determine content, tume ni organization ya ku-collect, organize, prioritize, write and presenet content ya katiba kwa Bunge la Katiba!

Watu wengi mnaosema mngependa so and so wawe kwenye tume, kwa ukweli ni vyema wawe nje kwa kuwa wao ndio wanao-determine/contributing the content of the constitution!

Ndio maana hii tume-inalazimika kutunza contents zote zitakazotolewa na wananchi including majembe yenu mnaosema...

Mungu Ibariki Tanzania

Kwa composition hii ya tume, Mahakama ya kadhi lazima itapewa priority kubwa.
 
Mimi wasiwasi wangu ni kuwa huenda wakafanya kazi under remote control. Otherwise the team is fully packed. Wazo binafsi team ifanye kazi bila kuogopa vitisho au kuegemea maslahi ya makundi wanayowakilisha. Kwa hili utaifa kwanza mengine baadae. Hawana cha kupoteza pengine vitisho dhidi yao hasa kutoka usalama wa serkali havitazidi kumbukumbu itakayobaki watakapokufa as great men of this blessed land of kilimanjaro and zanzibar.
 
Unasema tume hai determine content ya katiba halafu unasema tume ita "write and presenet content ya katiba" ....

you are not making any sense


May be yes, may be no!!! Nilichosema Tume sio inayohusika kusema tuweke jambo hili na tuache hili.... bali wananchi ndio wanafanya hivyo, tume inatakiwa ku-andika (write) in organized way (mfumo wa kikatiba) mawazo ya wananchi... so hatutegemei zaidi mawazo yao bali hekima zao. Basic constitution skills is enough, while hekima ndio inatakiwa zaidi.
 
i'm lost, nadhani kuna uelewa mdogo sana hapa kwenye jamvi... Tume-hai-determine content, tume ni organization ya ku-collect, organize, prioritize, write and presenet content ya katiba kwa bunge la katiba!

Watu wengi mnaosema mngependa so and so wawe kwenye tume, kwa ukweli ni vyema wawe nje kwa kuwa wao ndio wanao-determine/contributing the content of the constitution!

Ndio maana hii tume-inalazimika kutunza contents zote zitakazotolewa na wananchi including majembe yenu mnaosema...

Mungu ibariki tanzania
hapa wakristo wana poor representation kutokana na wajumbe wa zanzibar kuwa waislam tupu. Kwa maoni yangu uwingi wa idadi ya kura katika kutoa maoni au maamuzi haitakuwa njia muafaka. Ni lazima ibuniwe mbinu ambayo ni kinyume na uwingi wa kura vinginevyo christian are knocked out within the first round of the contest
 
Back
Top Bottom