Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Mkuu hukufuatilia vizuri,yupo kijana mmoja.Jina limenitoka,kama unayo ile list iweke hapa nikukwambie ni yupi,ila kijana yupo,usihofu
Anaitwa Polepole. Lakini idadi ya vijana haitoshi kama katiba tunayoitaka ni ya kutupeleka mbele miaka 50 ijayo. Wengi waliopo kwenye kamati sina imani kama watakuwepo miaka 10 ama hata 15 ijayo.