Jua linalotumulika ni dogo kama mchanga

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
7,581
15,718
Ulimwengu wa anga ni mkubwa sana,mpaka sio maajabu ni miujiza iliyopo huko angani hata ukisimuliwa unaweza kuona kipo nje na uwezo wako.

Kila binadamu hana tambua jua ni kubwa kuliko sayari zote zinazozunga huku tukitambua jua ni nyota inayotuwakilisha na sayari zetu.

IMG_2635.jpg


Uvumbuzi wa kutafuta kilicho nje ya anga kunazidi kupata nyota nyengine ambazo upelekea kulinganisha nyota fulani na fulani kwa ukubwa mfano sayari kwa sayari,jua kwa jua.

Rekodi iliyokuwa ina fahamika kuwa nyota kubwa ilikuwa UY scuti.

IMG_2656.jpg


Utafiti mwengine umekuja kutambua kuna nyota kubwa kwa jina stephenson 2-18 ambayo imeipita sayari ya UY scuti .
IMG_2655.jpg


Stephenson 2-18
Sayari hii inajulikana kama stephenson 2 DF1 au RSGC2-18.

Ukubwa wa eneo lake sawa tuzidishe 2150 x kwa jua letu kupata ukubwa wake (1.495 billion 928 millioni mi) ambapo jua letu Ukubwa wa eneo: 6.09×(10x12 )km2; 12,000 × Dunia.
Dunia ukubwa wake sio mgeni ukitafuta.
jamani tukiweka sifuri zitakuwa nyingi hapo !

Umbali wa stephenson kufikia unachukua kufika kutoka tulipo kwenye jua mpaka hapo sawa na 19560 light years
Mambo ya anga kupima umbali ufikia idadi ya sifuri kuwa nyingi ndipo ubadilishwa kuwa mfano wa spidi ya mwanga kwa mwaka
IMG_2497.jpg

Hesabu hiyo.

Mwangaza wake unakadiliwa kuwa na kipimo cha jua ziwe 440,000 x mwanga .yani tukusanye jua kama letu liwe hiyo idadi tuzidishe mwanga
Mwanga wa jua kiwango chake ni 3.83×(10x26)Watts.

Majua yawe(440,000) x mwanga 3.83x(10x26)watts.
Kwa mwanga huo hata sayari ya pluto tunayo sema hipo mwisho ingekuwa na kiwango cha joto kama jua.
Joto lilopo linakadiliwa kwa umbali sio kufika degree 2900c

Wanazengo tujadili
 
Kajua kalivyo kadogo siku wazungu wakikafunika na zulia tutakaa giza miaka mingi hadi tukome
Mugabe aliulizwa "Sisi wazungu tumefanikiwa kwenda mwezini nyie waafrika mtafanya maajabu gani?"

Akasema "Sisi tutaenda Juani"
wakashangaa"Sasa juani mtaendaje wakati kuna Joto kali?"
Mugabe:"Tutaenda Usiku"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rekodi iliyokuwa ina fahamika kuwa [color= #FF0000]nyota[/color] kubwa ilikuwa UY scuti
View attachment 1644642
Anhaa kumbe UY scuti ni nyota..sawa
kuna [color= #FF0000]nyota[/color] kubwa kwa jina stephenson 2-18 ambayo
anhaa na hii stepheson ni nyota nyingine...sawa tuendelee
kuna nyota kubwa kwa jina stephenson 2-18 ambayo
imeipita [color= #FF0000]sayari[/color] ya UY scuti .
mkuu UY scuti tena imegeuka kuwa sayari?

Stephenson 2-18
[color= #FF0000]Sayari[/color] hii inajulikana kama stephenson 2 DF1 au RSGC2-18.
Hapa tena stepheson imegeuka imekuwa sayari...mkuu unajua tofauti ya sayari na nyota?
Kwa mwanga huo hata sayari ya pluto tunayo sema hipo mwisho ingekuwa na kiwango cha joto kama jua.
Joto lilopo linakadiliwa kwa umbali sio kufika degree 2900c

Wanazengo tujadili
Sasa mbona 2900c ni ndogo mno hata hazifikii joto la core ya dunia tu.
 
Anhaa kumbe UY scuti ni nyota..sawa
anhaa na hii stepheson ni nyota nyingine...sawa tuendelee
mkuu UY scuti tena imegeuka kuwa sayari?

Hapa tena stepheson imegeuka imekuwa sayari...mkuu unajua tofauti ya sayari na nyota?
Sasa mbona 2900c ni ndogo mno hata hazifikii joto la core ya dunia tu.



Sent using Jamii Forums mobile app

Zile unazo ziona usiku unazisemaje kabla ya kuzoom.kumbuka hata jina la mkeo unaweza kukipa chochote kilichopo angani.
Kinacho weza kuwa mwangaza unaweza kukuita nyota mfano jua na ili kuweza kumueleza mtu hizo ni sehemu kama ya sayari kwa vile zipo na tabia tofauti
 
Zile unazo ziona usiku unazisemaje kabla ya kuzoom.kumbuka hata jina la mkeo unaweza kukipa chochote kilichopo angani.
Kinacho weza kuwa mwangaza unaweza kukuita nyota mfano jua na ili kuweza kumueleza mtu hizo ni sehemu kama ya sayari kwa vile zipo na tabia tofauti
Umekunywa nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulimwengu wa anga ni mkubwa sana,mpaka sio maajabu ni miujiza iliyopo huko angani hata ukisimuliwa unaweza kuona kipo nje na uwezo wako.
Kila binadamu hana tambua jua ni kubwa kuliko saya
hana - ana


Una undugu na mama tibaijuka?
 
Anhaa kumbe UY scuti ni nyota..sawa
anhaa na hii stepheson ni nyota nyingine...sawa tuendelee
mkuu UY scuti tena imegeuka kuwa sayari?

Hapa tena stepheson imegeuka imekuwa sayari...mkuu unajua tofauti ya sayari na nyota?
Sasa mbona 2900c ni ndogo mno hata hazifikii joto la core ya dunia tu.

Umelewa vzuri .umbali ulipo sio ukaribu uliopo na dunia
 
Mkuu hii fani ni kama vile unaibaka...ingekuwa saudi Arabia tungekukata ub*o na kukuchapa fimbo 200 hadharani

Sent using Jamii Forums mobile app

Toa fact sio kejeli tokea mwanzo una point.sio lazima kucomment usicho kijua.
Toa fact zitakazo kukupa kwa nini una nipinga.tafiti chunguza.ukiona nipo tofauti toa uzi wako unaona unahusu mambo ya kwako
 
Jua ni kubwa kuliko sayari zote kwenye sokar system. Lakini je kwenye Milkway Galaxy kuna solar system ngapi??? Pia je kuna galaxy ngapi katika Universe??? There is millions of Galaxy in this universe.
Je katika hizo solar system na na Galaxy je ni dunia tu iliyokusanya viumbe hai pekee jibu No. Kuna uwezekano 1150% kua na viumbe wengine waishio..Creator hawezi tengeneza those millions of Solar system n Planets for nothing.
Hapo ndio utaona sala ya "Mwana kondoo uondoae dhambi za ulimwengu/Universe utuhurumie" ina make sense
Well...

"Creator Hawezi kutengeneza millions of planets for nothing"....

Je kwani huyo Creator ni lazima aumbe na kuweka viumbe katika hayo matufe makubwa ?!!

Je kila aumbalo huyo creator lengo ni kumfaidisha mwanadamu ama viumbe wengine awajuao?!!

Huyo creator ana uhusiano gani mkubwa na kiumbe mmoja tu ambaye ni mwanadamu kwa muktadha wa ALIPO WAPO/YUPO WALIPO?!!

Millions of galaxies make our bodies chill...

Praise be to the NATURE!!
 
Back
Top Bottom