Jua au mvua...

Magulumangu

JF-Expert Member
Jan 7, 2010
3,047
455
Yeah yeah ya mwaka mpya wakuu zangu na ya mwaka mkuu kuu wadogo zanguni? Jamani tukiwa tumebakiwa na masaa tu mwaka ukatike mie na ka swali...Dada zangu najua mvua hampendi ikinyesha sana, jua nalo hamlitaki likiwaka sana, mvua na ukame vyote hamzipendi ila tu kama zinakuwa ado ado, kwangu mimi napenda sana mvua kama za vuli maana ndo ustawi wa mazao unakuwa poa, kuna zile za rasharasha na mwanzo wa kulima mashamba ni muhimu sana maana husaidia kuotesha mbegu, zile za manyunyu zenyewe ni kiboko ya wote maana huwa ni taratibu lakini huwa ni hatari sana na hata husababisha mafuriko maana hunyesha kwa muda mrefu, zingine zile za elnino kiboko ya yote, ni mvua haswa na husababisha mafuriko haswa, Je, wewe dada unapenda mvua gani? Kina kaka mnapenda mvua ipi imnyeshee mwanadada? Mie napenda ile manyunyu ikianzia na ya rasharasha....elnino kwangu sio poa na jua silipendi maana huleta ukame......Heri Ya Mwaka Mpya Jamani....
 
magulumangu umerud tena na tafsida iliyoenda shule! honera kwa kuchezea kiswahili kadiri utakavyo. kuhusu mvua muafaka nadhani umefafanua vizuri. watafiti wote duniani katika kila fani wameprove kuwa its unstable, unsafe and unwise to stay on the extremes. wanapendelea na kushauri zaidi average positions. wenye hekima wanatuasa tuwe na self control na kuwa too much of anything is harmful, even too much of romance, rain, sugar, money, honey etc, just to mention a few. so back to the point, i would like vuli and rasharasha in most and masika in few ocasions while elnino and kiangazi in rare ocassions. frankly speaking, i would like to experience and see all of them arround in my life though in different measures as it is nature and they constantly keep balancing our planet. hope you understand, thanks mr magulumangu
 
magulumangu umerud tena na tafsida iliyoenda shule! honera kwa kuchezea kiswahili kadiri utakavyo. kuhusu mvua muafaka nadhani umefafanua vizuri. watafiti wote duniani katika kila fani wameprove kuwa its unstable, unsafe and unwise to stay on the extremes. wanapendelea na kushauri zaidi average positions. wenye hekima wanatuasa tuwe na self control na kuwa too much of anything is harmful, even too much of romance, rain, sugar, money, honey etc, just to mention a few. so back to the point, i would like vuli and rasharasha in most and masika in few ocasions while elnino and kiangazi in rare ocassions. frankly speaking, i would like to experience and see all of them arround in my life though in different measures as it is nature and they constantly keep balancing our planet. hope you understand, thanks mr magulumangu

dada Judith mhhhhhhhhhhh vyua vyote weye wataka? mie rasharasha siipendi acha maana huja bila kutegemea na hunyesha wakati mwingine kukiwa na jua....jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hii siipendi tuuuuuuuuuuuuu
 
lainisha lugha.

Iko laini acha dada yangu...btw ni mvua gani weye pendelea ikunyeshee bibie? Halafu wewe konyeza yako hiyo mpaka mdomo? Wallah inanibi tuongee kidogo maaana uvumilivu mie sasa unaanza kunigeuka.
 
Hii sijawahi kunyeshea kwa muda mwingi, vipi inakuwaje man, haiumizi sasa?

Haiumizi mvua ya mawe inahitaji vitendeakazi kama mataulo(sio moja) kwako isiweshida, Halafu ile inaambatana na kelee nyingi unusual noises. Kiujumla mvua ya mawe inahitaji usafi wa hali ya juu, na unatakiwa kuifurahia kila inapoongezeka hasa kelele zake hapo utaipenda.
 
Haiumizi mvua ya mawe inahitaji vitendeakazi kama mataulo(sio moja) kwako isiweshida, Halafu ile inaambatana na kelee nyingi unusual noises. Kiujumla mvua ya mawe inahitaji usafi wa hali ya juu, na unatakiwa kuifurahia kila inapoongezeka hasa kelele zake hapo utaipenda.

Hii mvua gani mkuu tena uwe na mataulo, mhhhhh naiogopa sasa badala ya mwamvuli yenyewe uwe na mataulo, makubwa haya ndugu yangu, halafu uwe na usafi heeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, haya kaka, ile mvua ya barafu sasa sijui itakuwaje huko Ulaya wanasemaga inakuwa ni barafu tuuuuu....
 
Hii mvua gani mkuu tena uwe na mataulo, mhhhhh naiogopa sasa badala ya mwamvuli yenyewe uwe na mataulo, makubwa haya ndugu yangu, halafu uwe na usafi heeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, haya kaka, ile mvua ya barafu sasa sijui itakuwaje huko Ulaya wanasemaga inakuwa ni barafu tuuuuu....

Mvua ya mawe mwamvuli wa nini? utatoboka tu huo we kweli huijui. Hiyo mvua ya barafu ni ya ulaya tu ikidondoka kwetu ... hata nyota ya kijani tuta isahau ha ha ha haaaaa
 
Mvua ya mawe mwamvuli wa nini? utatoboka tu huo we kweli huijui. Hiyo mvua ya barafu ni ya ulaya tu ikidondoka kwetu ... hata nyota ya kijani tuta isahau ha ha ha haaaaa


hhe hhe hhe hayo tena? Mie simo ngoja niingie mitini kwa mwaka mpya, nyota ya kijani kaka hiyo si njema tena, acha kabisa mtu wangu....mhhhhhhhhhhh lkn hata mie sipendi miamvuli mkuu maana wakati mwingine husahau kama na mwamvuli hivyo naingia hivyo hivyo acha nilowane mkuu...
 
hhe hhe hhe hayo tena? Mie simo ngoja niingie mitini kwa mwaka mpya, nyota ya kijani kaka hiyo si njema tena, acha kabisa mtu wangu....mhhhhhhhhhhh lkn hata mie sipendi miamvuli mkuu maana wakati mwingine husahau kama na mwamvuli hivyo naingia hivyo hivyo acha nilowane mkuu...

Apo sasa ndipo unahitaji mataulo
 
dada Judith mhhhhhhhhhhh vyua vyote weye wataka? mie rasharasha siipendi acha maana huja bila kutegemea na hunyesha wakati mwingine kukiwa na jua....jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hii siipendi tuuuuuuuuuuuuu

i advice you to positively think about rasharasha too kwani maisha yana ups and downs, so a well commanded rasharasha will keep you surprised and satisfied in special times, only God knows exactly when, but i like to see all types of mvuas around, just to keep my life satisfying and balanced
 
Back
Top Bottom