habarini ndugu wanajamii forum,leo ningependa niwaletee kitu kipya ambacho wengi hawakifahamu katka mapenzi,
ni kuhusu nguvu ya majina yani lako na la mpenzio,believe me tofauti ya mwendano wa majina imekuwa sbabu ya watu wengi kuachwa mara kwa mara na hata ndoa kuvunjika kila siku,ni hivi ikiwa umempata mchumba mpya hakikisha kwamba majina yenu yametofautiana kuanzia herufi nane na kuendelea
ngoja niwaeleweshe hope hamjaelewa
ni kwamba kuna alphabet A mpka Z
kila herufi ipe namba a ipe 1,b2,c3na kuendelea
sasa kama unampenzi angalia heruf yke ya kwanza na yko hakikisha zmetofautian kwa namba nane kam sivyo jua hamtadumu