DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,912
Wakina nan
Wakina nan
hapo mkuu usimuache huyo anakufa na mtadumuSasa je kama lake linaanza na erufi za mwanzo mwanzo na langu za katikati ni nani atampenda mwenzie zaidi mimi au yeye
ndo mana nkasema anae bisha apractice then aje na majibu humuliongo hili, sio la kuamini hata kidogo... 'we are what we believe' unachoamini unakipa uhai katika maisha yako
yah,na mengi yamefichwMay be ila dunia ina miujiza mingi sana
vip tenaUshindwe na ulegee,we naona umetumwa...
wachawi waganga washirikina na wasoma nyota itabidi muanzishiwe forum yenu. mnaboa sana.habarini ndugu wanajamii forum,leo ninamtadumu
Jina lipi nitumie la kwenye cheti cha shule, cha ubatizo,la nyumbani kwetu, lile ninaloitwa mtaani ,nililopewa na babu au nililojipa mwenyewe ukubwani
Baba alinipa lake ,na mama alinipa lake,ingawa yote siyatumii labda nikikutana nao ndio wananiita ila linalovuma ni lile la shule.VP nitumie lipi hapoulilopew wakat unazaliwa
Kivipi mkuu usipothibitisha nitaamini mabashite wako wengi sanaYaan uyu jamaa ua bogus kabisa
Ohoooo ...bro ivi umeshindwa kujua kuwa natania tu,kwa kunikomesha zaidi bado unakazia asee!!hyo ni elimu tu,but sku moja utakumbka kuwa uliambiwa
ukweli pinga au kata ni kwamba huyo wa d mlieachana wewe ndo ulikuwa chanzo,na huyo j uliyempata japo mmedumu kwa miaka yote ila hata ukimuoa hamta dumu kwani anamengi mabaya tofauti na d,uliyeachana naeNaomba nikupinge kwa herufi kubwa...
Utafiti/utabiri wako kwangu una matokeo tofauti. Jina langu limeanzia M na la mpenzi wangu limeanzia J lkn huu ni mwaka wa nane.
Pia niliwahi kuwa na mahusiano na mwanamke jina lake limeanzia D, hatukuweza kudumu hata mwaka.
habarini ndugu wanajamii forum,leo ningependa niwaletee kitu kipya ambacho wengi hawakifahamu katka mapenzi,
ni kuhusu nguvu ya majina yani lako na la mpenzio,believe me tofauti ya mwendano wa majina imekuwa sbabu ya watu wengi kuachwa mara kwa mara na hata ndoa kuvunjika kila siku,ni hivi ikiwa umempata mchumba mpya hakikisha kwamba majina yenu yametofautiana kuanzia herufi nane na kuendelea
ngoja niwaeleweshe hope hamjaelewa
ni kwamba kuna alphabet A mpka Z
kila herufi ipe namba a ipe 1,b2,c3na kuendelea
sasa kama unampenzi angalia heruf yke ya kwanza na yko hakikisha zmetofautian kwa namba nane kam sivyo jua hamtadumu
mlipishan kwa herufi ganiKwendaaa liongo likubwa....mbona tuliepishana hiyo nane hatujadumu ?