mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,772
- 2,171
Nimekuwa nikisikia mara kwa mara eti Rais Magufuli alisema kwamba "...... mshahara nikulipe, gari nikupe....... halafu utangaze mpinzani kashinda" - ujumbe huu akiwa amewapa Wakurugenzi wa Majiji, Manispaa na Miji ambao ni wasimamizi wa uchaguzi. Mimi siamini kama Rais angeweza kutoa tamko kama hili. Lakini kama alilitoa, ilikuwa lini na wapi? Kama ni kweli tuwekeeni ka-clip!