JPM ni kweli alisema hivi?

mafutamingi

JF-Expert Member
Feb 14, 2011
2,772
2,171
Nimekuwa nikisikia mara kwa mara eti Rais Magufuli alisema kwamba "...... mshahara nikulipe, gari nikupe....... halafu utangaze mpinzani kashinda" - ujumbe huu akiwa amewapa Wakurugenzi wa Majiji, Manispaa na Miji ambao ni wasimamizi wa uchaguzi. Mimi siamini kama Rais angeweza kutoa tamko kama hili. Lakini kama alilitoa, ilikuwa lini na wapi? Kama ni kweli tuwekeeni ka-clip!
 
Nimekuwa nikisikia mara kwa mara eti Rais Magufuli alisema kwamba "...... mshahara nikulipe, gari nikupe....... halafu utangaze mpinzani kashinda" - ujumbe huu akiwa amewapa Wakurugenzi wa Majiji, Manispaa na Miji ambao ni wasimamizi wa uchaguzi. Mimi siamini kama Rais angeweza kutoa tamko kama hili. Lakini kama alilitoa, ilikuwa lini na wapi? Kama ni kweli tuwekeeni ka-clip!
Ukipewa usianze kutapatapa kujitetea... Subiri
 
Nimekuwa nikisikia mara kwa mara eti Rais Magufuli alisema kwamba "...... mshahara nikulipe, gari nikupe....... halafu utangaze mpinzani kashinda" - ujumbe huu akiwa amewapa Wakurugenzi wa Majiji, Manispaa na Miji ambao ni wasimamizi wa uchaguzi. Mimi siamini kama Rais angeweza kutoa tamko kama hili. Lakini kama alilitoa, ilikuwa lini na wapi? Kama ni kweli tuwekeeni ka-clip!
Aisee inaonyesha yanakupita mengi ila ni kweli alisema tena ikulu akiwaapisha ilikuwa live mimi ile clip niliiona subiri walio nayo watakuwekea hapa uione.
 
Nimekuwa nikisikia mara kwa mara eti Rais Magufuli alisema kwamba "...... mshahara nikulipe, gari nikupe....... halafu utangaze mpinzani kashinda" - ujumbe huu akiwa amewapa Wakurugenzi wa Majiji, Manispaa na Miji ambao ni wasimamizi wa uchaguzi. Mimi siamini kama Rais angeweza kutoa tamko kama hili. Lakini kama alilitoa, ilikuwa lini na wapi? Kama ni kweli tuwekeeni ka-clip!
acha hiyo, leo kwenye sherehe za kusoma quran kamtania jk utani mmbaya,
 
Kaa,mkao wa kula clip tu watakuwekea ila nadhani utadai nyingi sana maana kuna matamko yameishawahi tolewa na huyu mtu shetani aliposikia alitimua mbio''mkimwona mtu anakisima na anawazuia msichote Maji mkamateni mtumbukizeni kwenye kisima.''
 
Nimekuwa nikisikia mara kwa mara eti Rais Magufuli alisema kwamba "...... mshahara nikulipe, gari nikupe....... halafu utangaze mpinzani kashinda" - ujumbe huu akiwa amewapa Wakurugenzi wa Majiji, Manispaa na Miji ambao ni wasimamizi wa uchaguzi. Mimi siamini kama Rais angeweza kutoa tamko kama hili. Lakini kama alilitoa, ilikuwa lini na wapi? Kama ni kweli tuwekeeni ka-clip!
Kwahiyo ule ulikuwa mdomo wako! Kitu ya miaka mitatu unahoji leo!
 
Nimekuwa nikisikia mara kwa mara eti Rais Magufuli alisema kwamba "...... mshahara nikulipe, gari nikupe....... halafu utangaze mpinzani kashinda" - ujumbe huu akiwa amewapa Wakurugenzi wa Majiji, Manispaa na Miji ambao ni wasimamizi wa uchaguzi. Mimi siamini kama Rais angeweza kutoa tamko kama hili. Lakini kama alilitoa, ilikuwa lini na wapi? Kama ni kweli tuwekeeni ka-clip!

Ukishaona utafanyaje? Kama alipokea wanaccm kwenye kamisheni ya jeshi huku jeshi likiwa limetengwa na siasa kikatiba, itakuwa hiyo kauli?
 
Nimekuwa nikisikia mara kwa mara eti Rais Magufuli alisema kwamba "...... mshahara nikulipe, gari nikupe....... halafu utangaze mpinzani kashinda" - ujumbe huu akiwa amewapa Wakurugenzi wa Majiji, Manispaa na Miji ambao ni wasimamizi wa uchaguzi. Mimi siamini kama Rais angeweza kutoa tamko kama hili. Lakini kama alilitoa, ilikuwa lini na wapi? Kama ni kweli tuwekeeni ka-clip!
Mhutu kuna tusi hajatamka? Zero brain pale
 
Tumpe kauli zote za hovyo za Jiwe ajionee kizaazaa ccm walichoiletea nchi .Huwezi kuwa msaliti halafu ukasavaivu ,Zitunzeni suruali zenu za zamani maana ikifika mwezi wa saba mpo Dar es salaam hamjahama mtakuwa wanaume kweli kweli ,Mimi sijaleta tetemeko katelero nyinyi ukimwi nyinyi, tetemeko nyinyi, Nikipata urais mtalimia meno ,Wafukuze bungeni waje huku mtaani niwashughulikie .Nikitoka likizo naonyesha salary slip yangu ,naya Tabora hayo mabango yenu muende kuyatandika myalalie na wake zenu ,hizo ni baadhi tu nimekumbusha mwenye muda wampandishie vidio .
 
Back
Top Bottom