Nchi hii waislamu wanaonewa mpaka kwenye virabu vya pombe. Nchi hii waislamu wataachwa kuonewa pale viongozi wote wa seikalini watakapokuwa waislamu tena wenye msimamo mkali. Ebu cheki sasa hivi rais muislamu, makamu muislamu na waziri wa ELIMU ambaye ndiyo mtendani mkuu wa wizara ni muislamu bado watu wanalalamika kuonewa. Juma mtanda ambaye alikuwa mwalimu wangu wa Gs pale kwiro high school anaelewa kwa mfumo wa usahihishaji wa mitihani haiwezekani kumpendelea mtu maana hakuna jina la mtu linaloandikwa kwenye mitihani wowote. Katika kusahihisha mtihani kila msahihishaji husahihisha swali moja tu hivyo hakuna namna ya kumpendelea mtu. Other wise mseme wanafunzi wa kiislamu wawe wanatungiwa mitihani ya kwao itakayekjwa rahisi rahisi hilo linawezekana kuwafikiria maana wanapoteza muda mwingi kwenye madrassa. Mitihani yako ya kumaliza ELIMU ya msingi itungwe kwa mfano wa shwali hili
mfano: Rais wa kwanza wa Tanzania aliitwa mwalimu Julius Kambarage Nyere-- (a)lra. (b) re. (c) ru (d) ro
Hapa watafaulu wote.
uMetiririka visuri, lakini nina wasiwasi juu ya uwezo wao wa kuelewa na kutokana na kutokuwa na uwezo wataendelea kulalamika kama ambavyo mwalimu wako Saidi Mtanda anavyofanya