The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 1,119
- 2,430
Vua nguo mkuuBonjour
Hili joto la dar es salaam, aisee sio poa, jua Kali joto kali
Muda wote una sweat jasho, maji unakunywa kila muda kama chura, Yani hogopaaaa ni hatari
Nipo na shem wenu hapa, tunazagamuana, Aisee tumeloa jasho chapa chapa kama tumepigwa na mvua za bondeni, Yani feni speed ya mwisho lakini wapi, mashuka yameloa mpka kichefu chefu
Tunaiomba serikali ya ccm iweze kupunguza hili jua na joto Kwa hapa dar ,
🤣🤣Tunaiomba serikali ya ccm iweze kupunguza hili jua na joto Kwa hapa dar
Awe anaenda gesti zenye kiyoyoziVua nguo mkuu
Serikali ipunguze joto
Bonjour
Hili joto la dar es salaam, aisee sio poa, jua Kali joto kali
Muda wote una sweat jasho, maji unakunywa kila muda kama chura, Yani hogopaaaa ni hatari
Nipo na shem wenu hapa, tunazagamuana, Aisee tumeloa jasho chapa chapa kama tumepigwa na mvua za bondeni, Yani feni speed ya mwisho lakini wapi, mashuka yameloa mpka kichefu chefu
Tunaiomba serikali ya ccm iweze kupunguza hili jua na joto Kwa hapa dar ,
Nauza kitanda na godoro la barafu mkuu bei poa kabisa.Nipo na shem wenu hapa, tunazagamuana, Aisee tumeloa jasho chapa chapa kama tumepigwa na mvua za bondeni, Yani feni speed ya mwisho lakini wapi, mashuka yameloa mpka kichefu chefu
Ningenunua AC.Mbona matusi, hata wangekwambia kuna joto laja, ungechukua hatua gani kulizuia??
Makonda aingilie kati.Afanye ziara ya helikopta Dar kuhakiki hali ya joto na kutoa maelekezo kwa mamlaka ya hali ya hewaTunamshukuru Mh Rais kwa kutuletea joto hili
Unazagamulia ndani?Bonjour
Hili joto la dar es salaam, aisee sio poa, jua Kali joto kali
Muda wote una sweat jasho, maji unakunywa kila muda kama chura, Yani hogopaaaa ni hatari
Nipo na shem wenu hapa, tunazagamuana, Aisee tumeloa jasho chapa chapa kama tumepigwa na mvua za bondeni, Yani feni speed ya mwisho lakini wapi, mashuka yameloa mpka kichefu chefu
Tunaiomba serikali ya ccm iweze kupunguza hili jua na joto Kwa hapa dar ,
Na ndio kitu pekee kimetekelezwa bila kuhimizwa na kupigiwa kelele. Sijui kwanini wale machawa hatuwasikii wakipingeza kwa hili.Tunamshukuru Mh Rais kwa kutuletea joto hili
Utazunguka na AC barabarani?Ningenunua AC.
Angedunduliza kinunua ACMbona matusi, hata wangekwambia kuna joto laja, ungechukua hatua gani kulizuia??