Jike.acha maswali yasiyo na formulax wako ni dume?
au jike?
Jamani mbona sijawahi kumsikia Joti akitajwa kuwa na msichana au mke?
Huwa namuona akiigiza kama mdada, na pia nasikia watoto wa mjini walisha wahi kumla kiboga.
Jamani Joti, si bora utafute lidada limoja utulie nalo?
Nakupongeza nasikia umejenga huko Kigamboni, ila nyumba bila mwanamke ni ghetto.
Bila shaka wewe utakuwa ni DUNGAYEMBE,si umtafute uombe nafasi kama haina mtu.
HEBU Tutokee hapa ..wapi kasema bwabwa?? ye kasema "wanam-kameruni" sijaona neno bwabwa hapo zaidi ya wewe kulitaja
Hivi Papaa Msofe, yule kaka muhunimuhuni ndo mumeo?
Hivi Papaa Msofe, yule kaka muhunimuhuni ndo mumeo?
JF never boring
Mkuu kaswali kabaya hakoo!!!
Inahusu nini?
............mhk.......sijui hata nichangie nini hapa...........!
unataka kusema joti wanam-kamerun''
Mimi wala simshangai huyo x wako,mwaka jana mwanzoni hawa mastaa wetu wakike waigizaji/waimbaji waliulizwa kati ya mastaa wakiume nani mnamkubali kwa mambo ya chumbani ? na jina la Joti lilitajwa sana walidai jamaa ana miguu mitatu na anajua kuutumia huo wa ziada.Sasa hili la sijui wana-mkameron sidhani kama ni kweli.Mkuu Joti anatongozwa mbaya,mi nilikuwa nashare password na x wangu facebook,yaani nilikuwa namkuta Joti kwenye inbox ya x wangu anazingua kishenzi....labda huo uzushi,ila hatuwezi tukajua privancy ya mtu.