Joti alamba matapishi karudi kwa Mengi?

Joti alamba matapishi karudi kwa Mengi?

meningitis

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
8,464
Reaction score
4,828
Nimemuona Joti akiwa kwenye kipindi cha kutafuta wasanii wa filamu kinachokwenda kwa jina la TMT na kurushwa na television ya ITV dada wa EATV !
 
Kipindi kinamilikiwa na mtu mwingine tu joti ye kaajiliwa tu, basi kama ni hivyo hata tangazo la Tigo na la blue band lisiruswe ITV kisa yumo joti? Jiongeze mtoa mada

mmiliki ni nani?
 
Post ya kitoto nenda kalale huna jipya, ubongo wako hauna ushirikiano kabsa
 
Dogo pale yupo ktk mkataba na wenye kipindi na siyo kama karudi itv,hata hivyo akirudi itv siyo dhambi kwani anatafuta maisha
 
Yaani hata harufu ya matapishi sijaisikia achilia mbali kuhisi wala kuona!!
 
Nimemuona Joti akiwa kwenye kipindi cha kutafuta wasanii wa filamu kinachokwenda kwa jina la TMT na kurushwa na television ya ITV dada wa EATV !


Umemuona kweli anakula matapishi!?? Au kihere here chako tu!!!
 
Back
Top Bottom