deonova
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 742
- 419
TMT inamilikiwa na PROINS PROMOTION COMPANY, wanaproduce kipindi na wanaweza kukirusha tv yoyote, wao wamechagua kukirusha EATV, ni kama Minibuzz mwanzo walikuwa wanarusha Eatv sasa hivi wanakirusha Startv so hapa huwezi sema ni cha Eatv, kama hawakitaki kipindi kisa yupo Joti basi ni simple, wao Proins wanakiuza kwenye Tv station ingine, hata tangazo la blueband wao Itv na subs zake wakisema hawalitaki kisa yupo Joti ni simple, linapelekwa tv zingine waendelee ku-make pesa wao wabaki na conflict za interest zao.
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums