Nimemuona Joti akiwa kwenye kipindi cha kutafuta wasanii wa filamu kinachokwenda kwa jina la TMT na kurushwa na television ya ITV dada wa EATV !
Tanzania kweli ina watu wenye vichwa vya wendawazimu. Mtu kama wewe unashabikia bifu badala ya kufurahia amani.
Kuwa kichaa siyo lazima utembee ukiokota makopo hata mawazo kama yako hutolewa na vichaa kama wewe