The Hyper
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 1,722
- 988
Huyu nae legelege sana, kutoka damu puani ndio mpaka aende hospitali.
Mungu akusaidie,nahic hauko sawa kiakili.
Huyu nae legelege sana, kutoka damu puani ndio mpaka aende hospitali.
Hana lolote amepatwa na mstuko wa mwendeno wa kura.nassari akiwa hoi baada ya kupigwa na wanajeshi wa mwigulu wakiwa lengo ni kuua kabisa..
Huyu nae legelege sana, kutoka damu puani ndio mpaka aende hospitali.
hivi alipigwa kwa kutumia taulo? Naona hata alama ya ushahidi wa kipigo hana,nilisha sema huyu kijana ni legelege sana. Utakuta kapigwa kofi moja tu mpaka akalazwa.nassari akiwa hoi baada ya kupigwa na wanajeshi wa mwigulu wakiwa lengo ni kuua kabisa..
mbunge wa arumeru mashariki amevamiwa na green guard na amepigwa sana kwasasa amelazwa hospital ya babati.
Hatutakula sahani moja!! hawawezi kutusukuma hivi subiri uone muziki upande wa pili siku si nyingi!
hivi alipigwa kwa kutumia taulo? Naona hata alama ya ushahidi wa kipigo hana,nilisha sema huyu kijana ni legelege sana. Utakuta kapigwa kofi moja tu mpaka akalazwa.
ZNZ ni tofauti na hapa usipotoshe!! waznz waliamua Zanzibar kwanza chama baadaye; Karume alimwita Seif wakateta kwamba tupiganie NCHI yetu! Maalimu amekubaliana na Shein ili kukomboa Zanzibar toka bara: Hizi FISI za Bara hazina muafaka zaidi ya kukomba kila kitu na kuua wanaoyazuia kuiba! JIBU NO RETREAT NO SURRENDER ni kuzipiga tu sasa!!Basi Chadema mtakula jeuri yenu sisiem is a different animal scares no one...., kama hamtaki kula sahani moja na sisiem basi jiandaeni kwa makubwa zaidi, kaeni chini mfikiri jinsi ya kula sahani moja na sisiem, mnataka pa kuanzia njooni Zanzibar mjifunze siasa za ushindani bila vita, makamu wa raisi ana msubukua raisi hadhari bila ya vita wala kutumia Polisi kurusha mabomu, njooni Zanzibar mjifunze siasa bila vita looooooser Chademas
hivi alipigwa kwa kutumia taulo? Naona hata alama ya ushahidi wa kipigo hana,nilisha sema huyu kijana ni legelege sana. Utakuta kapigwa kofi moja tu mpaka akalazwa.
asante jeikei kwa kuilinda amani ya nchi..nassari akiwa hoi baada ya kupigwa na wanajeshi wa mwigulu wakiwa lengo ni kuua kabisa..
Wakuu huyu ndo dogo janja kwa hiyo jamaa walimzidi ujanja kweli siasa kazi au alifikiri ukiwa mh. Huwezi kupigwa kule kwa lowasa asingeenda unacheza na ed anamizizi huko.nassari akiwa hoi baada ya kupigwa na wanajeshi wa mwigulu wakiwa lengo ni kuua kabisa..
Nassari ana kihere here sana, kuvaa hivo vicombat tu anajifanya jemedari kumbe hana lolote, hao green guard wameshiba mafunzo ya kimgambo, sio watu wa kuwachezea.
nassari ana kihere here sana, kuvaa hivo vicombat tu anajifanya jemedari kumbe hana lolote, hao green guard wameshiba mafunzo ya kimgambo, sio watu wa kuwachezea.
CCM haiwezi kukubali kushindwa ndio maana wanataka ushindi kwa njia yoyote ile lakini hawajui kuwa wanayo yafanya yanaweza kufanywa na yoyote yule bila ya kuhofu Kama pana polisi au jeshi.nanahi ya mama yako