Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,932
- 32,340
Hilo ndiyo tatizo lenu mnaongea bila kufanya utafiti,kwa taarifa yako sikuanza jana uwanaharakati.
Issue ni kwamba umenijua baada ya kuwa na Dr,sasa kaa kimya wanaonijua wazungumze.
Mnaobeza juu ya mke au mchumba hamna sera,maneno yenu hayatazuia harakati zangu.
Huu si mda wa kusikiliza propaganda ni wakati wa kuitafuta Tanzania Mpya Tuipendao.kazi yangu ni kuwaambia nini wanapaswa kufanya ili wapate wanachotaka.
Mnawaza posho kwa sababu akili zenu zinawaza wizi kila kukicha,ninamikono miwili nafanya kazi na kazi yangu inauwezo wa kuniwezesha.
HAKUNA KULALA MPAKA TANZANIA MPYA TUIPENDAYO INAPATIKANA.
Unachotakiwa ni kujibu hoja yaani wewe unaingia kwenye ulingo wa siasa halafu utaki kuhojiwa unataka tu wewe ndio ukosoe na kuhoji serikali, unaulizwa vipi posho hunajibu akili zenu zinawaza wizi kila kukicha hilo ndio jibu? Kazi unafanya Chadema unalipwa Milioni 10 kwa mwezi...jibu posho yako na gharama za safari za mikoani nani analipa?
Tanzania mpya unayoitaka inaitaji uwazi zaidi.