ruhi
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 3,735
- 5,400
Mi nikiwa mgeni katka mji wa Geita leo tarehe 07/07/2012 saa kumi jioni ktk vwanja vya magereza Geita mjini ndipo alipowasili mke wa katibu mkuu wa CHADEMA Dr. SLAA alianza kuhutubia na kuwapa wanaGeita mbinu za kuhoji pesa zao kutoka halmashauri ya mji wa Geita.Pamoja na mengi mazuri aliyoyasema kwa kweli nimeona utofauti wake na wanasiasa wengi kwani yeye ameongea kama mwanaharakati zaidi.Alikua na uwazo mkubwa wa kuambia wananchi ukweli kwani watu wote walikua wakiuzunika wa ukweli waliokua wanaambiwa kuhusu GGM NA CCM na vifo vya raia vinavyotokea ktk mgodi wao bila serikali kuwajulisha kwa kweli amewapo somo la kutosha na wananchi wameonekana hawana uchungu na afya duni,elimu mbovu,miundombinu mibovu na uonevu wa mapolisi wa mgodini