Uzima Tele
JF-Expert Member
- Jan 20, 2023
- 1,532
- 3,535
Kila mtu anasema lake..
Rais Samia: Yeye indirectly, kusema bila shaka Gwajima dini yake ni ya kichawi. Kwa hiyo inawezekana alitoroshwa na wachawi Ili asiingie kwenye mikono ya watekaji!
Wengine wanasema: Siku hiyo, alijifanya mwanamke, akavaa dera, akawazuga Polisi kiasi cha kushindwa kumtambua, akapita katikati yao,akapanda gari na kutoweka
Hizo zote ni assumptions za watu wanaotumia hekima na ufahamu wa kidunia kufanya judgement ya hili. Hekima ya kidunia daima huwa ni hekima ya shetani.
Hakuna sahihi hata moja miongoni mwa hizo mbili hapo.
Yesu Kristo, mwokozi wetu amepitia misukosuko na majaribio mengi ya kutaka kuuwawa na utawala wa Kirumi na Wayahudi kabla ya wakati wake. Mara zote, aliwaacha solemba watekaji na wauaji hao akipita katikati yao wasimtambue. Na waliishia kujiuliza katuachaje na kaenda wapi.
Mojawpo ya tukio ni hili👇lililorekodiwa ktk kitabu cha;
Hapa Yesu akiwaacha solemba wauaji bila wao kujua kwa style ya Askofu Gwajima. Walishitukia mtu waliyekuwa wamempiga pingu, ghafla anawaachia pingu zao na kutoweka wasijue kaondokaje na kaenda wapi!
Hapa unaweza kusema, huyu alikuwa Yesu. Mtu mwingine kama Gwajima au Tundu Lissu hawezi mbele ya Polisi "wasiojulikana" hawezi.
Sio kweli. Hata wewe unaweza ukimwamini na kumkiri Yesu Kristo kuwa ni Bwana na mwokozi wako kuanzia Leo!
Mtume Paul na mwenzake Sila nao walifungwa gerezani kule Efeso kwa kuonewa tu bila kosa kama alivyofungwa Lissu leo kwa uonevu tu. Ulinzi wa gereza walilokuwa wamefungwa Paulo na Sila ulikuwa mkali, Ukonga ni cha mtoto. Lakini nguvu ya Mungu isiyo na kizuizi iliwatoa. Soma👇
#Na nyie wengine kwanini mnakuwa brainwashed na wafuasi wa uganga wa kienyeji na wachawi kina Samia Suluhu Hassan na wenzake huko serikalini? Huyu mama (Rais Samia) utam - define vipi iwapo huombewa na majini? Je, si kwamba yeye ndiye hasa mchawi?
#Mch Josephat Gwajima ni mtumishi wa Yesu Kristo. Nguvu na uwezo wa Kristo umo ndani yake pia, ndio uwezo wake pia, ndio uwezo na nguvu zako na mimi pia iwapo tu tutakiri na kumwamini!
#Askofu Josephat Gwajima, haikuwa wakati wake kwenda Polisi kwa mtindo na namna ile ya utekaji. Mungu alizuia hilo. Akawapiga upofu na kupita katikati yao.
Yatasemwa mengi na wachawi. Lakini, that's the undisputed fact!
Rais Samia: Yeye indirectly, kusema bila shaka Gwajima dini yake ni ya kichawi. Kwa hiyo inawezekana alitoroshwa na wachawi Ili asiingie kwenye mikono ya watekaji!
Wengine wanasema: Siku hiyo, alijifanya mwanamke, akavaa dera, akawazuga Polisi kiasi cha kushindwa kumtambua, akapita katikati yao,akapanda gari na kutoweka
Hizo zote ni assumptions za watu wanaotumia hekima na ufahamu wa kidunia kufanya judgement ya hili. Hekima ya kidunia daima huwa ni hekima ya shetani.
Hakuna sahihi hata moja miongoni mwa hizo mbili hapo.
KAMA HATUMII UCHAWI AU HAKUVAA DERA, SASA ALIWEZAJE KUPITA KATIKATI YA POLISI NA KUWAACHA SOLEMBA MPAKA LEO?
View: https://youtu.be/CIZpwUz2Ik0?si=PwHUTGqWp9ltnr1a
View: https://youtu.be/CIZpwUz2Ik0?si=PwHUTGqWp9ltnr1a
Yesu Kristo, mwokozi wetu amepitia misukosuko na majaribio mengi ya kutaka kuuwawa na utawala wa Kirumi na Wayahudi kabla ya wakati wake. Mara zote, aliwaacha solemba watekaji na wauaji hao akipita katikati yao wasimtambue. Na waliishia kujiuliza katuachaje na kaenda wapi.
Mojawpo ya tukio ni hili👇lililorekodiwa ktk kitabu cha;
Luka 4:28-30 BHN
"...Wote waliokuwa katika lile sinagogi waliposikia hayo walikasirika sana. Wakasimama, wakamtoa nje ya mji wao uliokuwa umejengwa juu ya kilima, wakampeleka mpaka kwenye ukingo wa kilima hicho ili wamtupe chini. Lakini Yesu akapita katikati yao, akaenda zake..."
"...Wote waliokuwa katika lile sinagogi waliposikia hayo walikasirika sana. Wakasimama, wakamtoa nje ya mji wao uliokuwa umejengwa juu ya kilima, wakampeleka mpaka kwenye ukingo wa kilima hicho ili wamtupe chini. Lakini Yesu akapita katikati yao, akaenda zake..."
Hapa Yesu akiwaacha solemba wauaji bila wao kujua kwa style ya Askofu Gwajima. Walishitukia mtu waliyekuwa wamempiga pingu, ghafla anawaachia pingu zao na kutoweka wasijue kaondokaje na kaenda wapi!
Hapa unaweza kusema, huyu alikuwa Yesu. Mtu mwingine kama Gwajima au Tundu Lissu hawezi mbele ya Polisi "wasiojulikana" hawezi.
Sio kweli. Hata wewe unaweza ukimwamini na kumkiri Yesu Kristo kuwa ni Bwana na mwokozi wako kuanzia Leo!
Mtume Paul na mwenzake Sila nao walifungwa gerezani kule Efeso kwa kuonewa tu bila kosa kama alivyofungwa Lissu leo kwa uonevu tu. Ulinzi wa gereza walilokuwa wamefungwa Paulo na Sila ulikuwa mkali, Ukonga ni cha mtoto. Lakini nguvu ya Mungu isiyo na kizuizi iliwatoa. Soma👇
Matendo 16:25-28 BHN
"...Karibu na usiku wa manane Paulo na Sila walikuwa wakisali na kuimba nyimbo za kumsifu Mungu, huku wafungwa wengine wakiwa wanasikiliza. Ghafla, kulitokea mtetemeko mkuu wa ardhi ambao uliitikisa misingi ya gereza. Mara, milango yote ikafunguka na minyororo iliyowafunga hao wafungwa ikaachana. Askari wa gereza alipoamka na kuiona milango ya gereza imefunguliwa, alidhani kwamba wafungwa wote walikuwa wametoroka, na hivyo akauchomoa upanga wake, akataka kujiua. Lakini Paulo akaita kwa sauti kubwa: “Usijidhuru mwenyewe kwa maana sisi sote tuko hapa.”
Hapa tunaona nguvu ya Mungu haikuzuiwa na askari wala gereza kufanya kazi yake. Ukiendelea kusoma zaidi sura hii yote, utaona kuwa muujiza ule ulifanya maaskari na mkuu wa gereza lile kuiishia kumwamini Yesu Kristo/Mungu na kuokoka!"...Karibu na usiku wa manane Paulo na Sila walikuwa wakisali na kuimba nyimbo za kumsifu Mungu, huku wafungwa wengine wakiwa wanasikiliza. Ghafla, kulitokea mtetemeko mkuu wa ardhi ambao uliitikisa misingi ya gereza. Mara, milango yote ikafunguka na minyororo iliyowafunga hao wafungwa ikaachana. Askari wa gereza alipoamka na kuiona milango ya gereza imefunguliwa, alidhani kwamba wafungwa wote walikuwa wametoroka, na hivyo akauchomoa upanga wake, akataka kujiua. Lakini Paulo akaita kwa sauti kubwa: “Usijidhuru mwenyewe kwa maana sisi sote tuko hapa.”
#Na nyie wengine kwanini mnakuwa brainwashed na wafuasi wa uganga wa kienyeji na wachawi kina Samia Suluhu Hassan na wenzake huko serikalini? Huyu mama (Rais Samia) utam - define vipi iwapo huombewa na majini? Je, si kwamba yeye ndiye hasa mchawi?
#Mch Josephat Gwajima ni mtumishi wa Yesu Kristo. Nguvu na uwezo wa Kristo umo ndani yake pia, ndio uwezo wake pia, ndio uwezo na nguvu zako na mimi pia iwapo tu tutakiri na kumwamini!
#Askofu Josephat Gwajima, haikuwa wakati wake kwenda Polisi kwa mtindo na namna ile ya utekaji. Mungu alizuia hilo. Akawapiga upofu na kupita katikati yao.
Yatasemwa mengi na wachawi. Lakini, that's the undisputed fact!