Joseph Warioba atengwa Rasmi

Joseph Warioba atengwa Rasmi

Mzee Warioba akiwa AG miaka ya 80 mwanzoni ndio tulikula sana ugali wa yanga, tukapanga foleni za maduka ya kaya. Kinamama wakavaa sana vitenge vya kupika.

Miaka ile baada ya vita ya Kagera kumalizika tulikuwa na rhumba la kufa mtu huko mitaani.
Na ndio msemo wa bongo jua kali ulipoanziaā˜€ļø
 
Katika Mawaziri Wakuu Wastaafu walioalikwa kwenye Kongamano la kuhitimisha shughuli za Bunge huko Dodoma, Jina la Warioba halimo.

Sababu za Mzee Warioba kutengwa zinafahamika, ni kwa vile yuko upande wa Wananchi, akipigania Demokrasia.

Lakini kwa vile Wananchi wako Pamoja na Warioba basi hana haja ya kuogopa na wala hakuna atakayemtisha.

Hii ni kwa sababu Wenye Nchi ni Wananchi.

Taarifa zingine zinaeleza kwamba kwa hali ya sasa ya ccm ya ubinafsi hata Nyerere angekuwa hai angetengwa
Walishamtenga siku nyingi hawa wapuuzi! Yote hayo ni Kikwete! Huoni hata Kippi wamegoma kumpa U-DC au U-RC!
 
Katika Mawaziri Wakuu Wastaafu walioalikwa kwenye Kongamano la kuhitimisha shughuli za Bunge huko Dodoma, Jina la Warioba halimo.

Sababu za Mzee Warioba kutengwa zinafahamika, ni kwa vile yuko upande wa Wananchi, akipigania Demokrasia.

Lakini kwa vile Wananchi wako Pamoja na Warioba basi hana haja ya kuogopa na wala hakuna atakayemtisha.

Hii ni kwa sababu Wenye Nchi ni Wananchi.

Taarifa zingine zinaeleza kwamba kwa hali ya sasa ya ccm ya ubinafsi hata Nyerere angekuwa hai angetengwa
Na makamo na yeye katengwa au?
 
Katika Mawaziri Wakuu Wastaafu walioalikwa kwenye Kongamano la kuhitimisha shughuli za Bunge huko Dodoma, Jina la Warioba halimo.

Sababu za Mzee Warioba kutengwa zinafahamika, ni kwa vile yuko upande wa Wananchi, akipigania Demokrasia.

Lakini kwa vile Wananchi wako Pamoja na Warioba basi hana haja ya kuogopa na wala hakuna atakayemtisha.

Hii ni kwa sababu Wenye Nchi ni Wananchi.

Taarifa zingine zinaeleza kwamba kwa hali ya sasa ya ccm ya ubinafsi hata Nyerere angekuwa hai angetengwa
Anapiga spana sana yule mzee.
 
Katika Mawaziri Wakuu Wastaafu walioalikwa kwenye Kongamano la kuhitimisha shughuli za Bunge huko Dodoma, Jina la Warioba halimo.

Sababu za Mzee Warioba kutengwa zinafahamika, ni kwa vile yuko upande wa Wananchi, akipigania Demokrasia.

Lakini kwa vile Wananchi wako Pamoja na Warioba basi hana haja ya kuogopa na wala hakuna atakayemtisha.

Hii ni kwa sababu Wenye Nchi ni Wananchi.

Taarifa zingine zinaeleza kwamba kwa hali ya sasa ya ccm ya ubinafsi hata Nyerere angekuwa hai angetengwa
Mkuu,

Umejiridhisha vipi Mzee Warioba katengwa na hana udhuru mwingine wowote?

Ningemvutia uzi mwanangu Gotta hapa anipe mkeka, ila tatizo Gotta hapendi kuongelea siasa tu šŸ˜‚šŸ˜‚.
 
Katika Mawaziri Wakuu Wastaafu walioalikwa kwenye Kongamano la kuhitimisha shughuli za Bunge huko Dodoma, Jina la Warioba halimo.

Sababu za Mzee Warioba kutengwa zinafahamika, ni kwa vile yuko upande wa Wananchi, akipigania Demokrasia.

Lakini kwa vile Wananchi wako Pamoja na Warioba basi hana haja ya kuogopa na wala hakuna atakayemtisha.

Hii ni kwa sababu Wenye Nchi ni Wananchi.

Taarifa zingine zinaeleza kwamba kwa hali ya sasa ya ccm ya ubinafsi hata Nyerere angekuwa hai angetengwa
kajitenga mwenyewe
 
Mkuu,

Umejiridhisha vipi Mzee Warioba katengwa na hana udhuru mwingine wowote?

Ningemvutia uzi mwanangu Gotta hapa anipe mkeka, ila tatizo Gotta hapendi kuongelea siasa tu šŸ˜‚šŸ˜‚.
Kiranga hujambo?
 
Katika Mawaziri Wakuu Wastaafu walioalikwa kwenye Kongamano la kuhitimisha shughuli za Bunge huko Dodoma, Jina la Warioba halimo.

Sababu za Mzee Warioba kutengwa zinafahamika, ni kwa vile yuko upande wa Wananchi, akipigania Demokrasia.

Lakini kwa vile Wananchi wako Pamoja na Warioba basi hana haja ya kuogopa na wala hakuna atakayemtisha.

Hii ni kwa sababu Wenye Nchi ni Wananchi.

Taarifa zingine zinaeleza kwamba kwa hali ya sasa ya ccm ya ubinafsi hata Nyerere angekuwa hai angetengwa
Mbona hata Mpango hakuwepo na haja safiri? Acha kuandika kwa assumption
 
Mzee Warioba akiwa AG miaka ya 80 mwanzoni ndio tulikula sana ugali wa yanga, tukapanga foleni za maduka ya kaya. Kinamama wakavaa sana vitenge vya kupika.

Miaka ile baada ya vita ya Kagera kumalizika tulikuwa na rhumba la kufa mtu huko mitaani.
Kwahiyo saaa hivi mahindi yanatoka Kizimkazi watu wanapewa wale.

Huu ni zaidi ya ujuha, njaa na umsukule.

Vijistori uchwara vya kijinga
 
Katika Mawaziri Wakuu Wastaafu walioalikwa kwenye Kongamano la kuhitimisha shughuli za Bunge huko Dodoma, Jina la Warioba halimo.

Sababu za Mzee Warioba kutengwa zinafahamika, ni kwa vile yuko upande wa Wananchi, akipigania Demokrasia.

Lakini kwa vile Wananchi wako Pamoja na Warioba basi hana haja ya kuogopa na wala hakuna atakayemtisha.

Hii ni kwa sababu Wenye Nchi ni Wananchi.

Taarifa zingine zinaeleza kwamba kwa hali ya sasa ya ccm ya ubinafsi hata Nyerere angekuwa hai angetengwa
Pia sijamuona mzee John Malacela,sijamuona spika mstaafu Msekwa na sijawaona majaji wakuu wastaafu je,nao wametengwa? Haiwezekani kwamba walikuwa na dharura?
 
Hii nchi imejifia tu hakuna mtu wa maana utamuona apo kwenye ilo Bonanza

Hapo huwezi kuona maasikofu wa RC, Butiku au Warioba

Mpaka mkuu wa majeshi kagoma kuja ndio ujue tulipofikia Sasa!!


Hawa mafisadi watamwaga damu nyingi Sana kuachia madaraka
Mara ya mwisho nilimuona mkuu wa majeshi nje ya nchi ni kwamba hayupo nchini.
 
Back
Top Bottom