Nyakijooga
Senior Member
- Dec 9, 2018
- 123
- 202
"Mtu anaiba huku nyie mnamhamisha mnampeleka halmashauri nyingine, huku anaendelea na uchunguzi na anatumia pesa zetu kugharamia kesi.
Ngoma hii (ripoti ya CAG) ikija bungeni hatutaki tena kupiga swaga, ije tulale nao mbele" amesema Mbunbe wa Geita Vijijini, Joseph Msukuma.