Samweli Mathayo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 1,577
- 1,700
Kwakuwa wananchi wanaonekana sana kumkubali mheshimiwa Magufuli , ni vema wanaodili na kesi za watu ambao wako kinyume na Rais wa Tanzania wawe makini maana wana nchi wenye hasira Kali hawana mchezo na mtu anayepingana na Rais wao kipenzi
Niliwahi kushauri hata Kwa Lissu kwamba hakuna sababu ya kumuchia mapema Kwa usalama wake
Sioni sababu ya kumuachia Lissu Mapema, akiachiwa mapema asikamatwe tena tumeuchoka mchezo huu
Niliwahi kushauri hata Kwa Lissu kwamba hakuna sababu ya kumuchia mapema Kwa usalama wake
Sioni sababu ya kumuachia Lissu Mapema, akiachiwa mapema asikamatwe tena tumeuchoka mchezo huu