Joseph Mbilinyi auteka uwanja wa Sokoine

Joseph Mbilinyi auteka uwanja wa Sokoine

Toka apigane Ngumi bungeni, amekosa mvuto kwenye jamii..
Jamii ipi unayozungumzia wewe? yeye Jukwaa lake ni wapiga kura wake na ndio huko anawekeza sana kama mfano hai kwenye huu uzi
 
Sugu Mbeya city1.jpg
kumbe inaonekana ni kawaida yake aisee
 
Walishangilia walijua amewaletea viroba na bange,, vijana wa mbeya ni wahuni wamemshangilia mhuni mwenzao

Mmeamua kuwatukana vijana kwa sasa sema mtakutana nao tena 2015 kwenye sanduku la kura. Mtawajua vijana ni nani na sugu anawajua vipi.
 
sugu ana historia ya kuvuta bangi na Vincent nyerere, na hapo alikwenda katika jukwaa la wavuta bange wenzake.
 
sugu ni kati ya wabunge vilaza waliopo chadema na alikimbia shule, ameshindwa kutimiza ahadi jimboni kwake ameamua kushabikia mipira na wahuni wenzake.
 
Back
Top Bottom