wapi Gwajima aombewe?
mmetusompa. na malori kuludi mmetutelekeza. sio usatalabu
vijana wa mwanjelwa,uyole, mwanahapa ni wahuni wapiga nondo.. wanamshangilia muhun mwenzao
hata afanyeje 2015 kapuni
Toka apigane Ngumi bungeni, amekosa mvuto kwenye jamii..
mengine yalikua ni ya kiaina kupinga BMKna mashabk walikuwa na mabango yenye maandish yanayopinga FIESTA Kufanyika sokoni. Wakidai shughul hyo itahalbu nyasi ambazo wapenz, mashabak na wafungwa wa gereza la rwanda walijitolea kubeba na kuzipanda.
hakuna mbunge mbumbumbu kama sugu. anapenda kampani za vijana wanaovuta bange na viroba sijui anakuwa ana siri gani nao
Oneni wenyewe sugu alivyo muhuni , yuko na swahiba wake marasta hapo.pembeni.. bange ilihusika kwa kiwango kikubwa