Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,833
takwimu zinasemaje kuhusu na watanzania wangapi kati yao watanzania kadhaa wana ugonjwa wa akili.
Mijitusi
takwimu zinasemaje kuhusu na watanzania wangapi kati yao watanzania kadhaa wana ugonjwa wa akili.
Ndio,nenda YouTubeKuna video au audio ya yeye akisema hivyo?
Dhambi ya usaliti na unafiki kwa watanzania yaanza kuwatafuna CCM!Akihojiwa na Ayo tv Jana, Msukuma alidai kwa walichokifanya watu wanaodaiwa ni askari kumuonyesha bastola mhe Nape ni sahihi kwani kitambulisho cha askari yeyote ni bastola au bunduki hivyo Nape hakupaswa kuwa na shaka maana walikuwa wanamlinda. Msukuma alienda mbali zaidi na kusema hata yeye alionyeshwa SMG nane lakini hakuwa na shaka maana wale ni askari.
My take: Nchi hii ina sampuli na sampuli jamani
anacheza na akili zaoHuyu msukuma kanunua basi mpya kaweka picha ya JK afu kaandika TUNAKUKUMBUKA, na chini ya hayo maneno kaandika VYETI FEKI.
Jipe nafasi kumsikiliza hapo ktk clip.Msukuma amechanganyikiwa.
Bastola ni kitamburisho cha askari?
Hiyo JKT anayosema nimepita hakuna kitu kama hicho.
Bunduki ina urasimu wake kijeshi.
Kuiambia jamii bunduki ni kitamburisho cha askari ni uzushi wa kisiasa na kujikomba
Na ni mawazo potofu.
Weka picha.Huyu msukuma kanunua basi mpya kaweka picha ya JK afu kaandika TUNAKUKUMBUKA, na chini ya hayo maneno kaandika VYETI FEKI.
Weka picha.
Umeona eeh?Hahahahaha! Majuzi tu hapa mh. Kasheku alikuwa shujaa wa "team Mange" leo twna yamekuwa hayo?
Akihojiwa na Ayo tv Jana, Msukuma alidai kwa walichokifanya watu wanaodaiwa ni askari kumuonyesha bastola mhe Nape ni sahihi kwani kitambulisho cha askari yeyote ni bastola au bunduki hivyo Nape hakupaswa kuwa na shaka maana walikuwa wanamlinda. Msukuma alienda mbali zaidi na kusema hata yeye alionyeshwa SMG nane lakini hakuwa na shaka maana wale ni askari.
My take: Nchi hii ina sampuli na sampuli jamani
Your are all stupid...And your point is......?
Ingia youtubeKuna video au audio ya yeye akisema hivyo?
And there ain't shit you can do about anything...Your are all stupid...