Jini mahaba
Senior Member
- Feb 24, 2014
- 151
- 39
Kwa hiyo?
Kwa hiyo?
Eti umpigie kura nyalandu..kwiwkwi
Kweli vijana noma. JK na ukanali wake sijui
Kikwete sio askari.Kweli vijana noma. JK na ukanali wake sijui
Kwa mali iliyopo/ utajiri wa Congo hiyo barabara ilitakiwa kuwa na lami na madaraja ya nguvu, siwaelewi mnao misifia Kabila kwa anachofanya!!
Congo laiti ingetulia,wangeogelea maisha "muzuri huku wanatosha musique"!Oooh...nalela na bana Congo!