Joseph Kabila awaongoza mabodigadi misitu ya kongo

Joseph Kabila awaongoza mabodigadi misitu ya kongo

Jini mahaba

Senior Member
Joined
Feb 24, 2014
Posts
151
Reaction score
39
attachment.php


Wana jf ukiangalia hizi picha ....unaweza kuona faida ya kua na maraisi vijana

attachment.php
 

Attachments

  • 1420663277876.jpg
    1420663277876.jpg
    60.4 KB · Views: 18,053
  • 1420663308719.jpg
    1420663308719.jpg
    70.9 KB · Views: 19,027
Kweli vijana noma. JK na ukanali wake sijui
 
Kwa mali iliyopo/ utajiri wa Congo hiyo barabara ilitakiwa kuwa na lami na madaraja ya nguvu, siwaelewi mnao misifia Kabila kwa anachofanya!!
 
Kwa mali iliyopo/ utajiri wa Congo hiyo barabara ilitakiwa kuwa na lami na madaraja ya nguvu, siwaelewi mnao misifia Kabila kwa anachofanya!!

Ile nchi ya Congo ina mvua nyingi sana kwa suala la barabara za lami Congo ni vigumu kidogo kwa kuwa utope huo unaouna ni karibu mwaka mzima na kwa ujenzi wa lami haufai kwani itahitaji karibu kila baada ya miaka mitano wabadilishe lami waweke nyingine na sehemu zingine ni miaka miwili itabidi waweke lami mpya. Ndo maana serikali ya Kabila imeboresha sana viwanja vya ndege na usafiri wa anga ni usafiri wa kawaida sana.
 
Hivi raisi kazi yake ya msingi ni kusukuma magari, kufunga supana, kutembea misituni na kupita sehemu ambazo ameshindwa kuzipelekea maendeleo?

Kwanza kabila ameleta nini kongo?

Acheni upofu wa akili.
 
Sasa rais kijana ni nyalandu? Kigwangala?Makamba? Anayeweza sekeseke hilo? Hao hata JKT hawapajui. Ni kweli tunahitaji Raia kijana ila hapo hatujapata.
 
Back
Top Bottom