Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,185
- 22,588
Alivaa jezi mkuuMbali na mafanikio ya Klabu na timu ya Taifa,yeye kafanya nini??
Alifunga?
Alitoa assist?
Alifanya nini cha maana?
Alivaa jezi mkuuMbali na mafanikio ya Klabu na timu ya Taifa,yeye kafanya nini??
Alifunga?
Alitoa assist?
Alifanya nini cha maana?
Siku zote i hate people who talk too much. Shenzi zaoBinafsi nimefurahi Italy kushinda, hao waingereza kwa midomo yao wangeshinda basi dunia ingekoma na kushika adabu.
Picha linaanza mpaka ki gari cha kupeleka mpira jana kimejitangaza kwamba chenyewe ni kishoga.
Mbali na mafanikio ya Klabu na timu ya Taifa,yeye kafanya nini??
Alifunga?
Alitoa assist?
Alifanya nini cha maana?
Kwa kuongoza kiungo cha Klabu yake ya Chelsea kushinda kombe ya ligi ya Mabingwa ya Ulaya na kwa kujenga kiungo Imara cha timu ya Taifa ya Italia na kuiwezesha kushinda kombe la Fainali za Euro 2020, Jorge Luiz Frello Filho almaarufu Jorginho ambaye huko Italia anajulikana kama "Regista"(DIRECTOR kwa kiingereza) anastahili kushinda hii tuzo na kuwa Mcheza bora wa dunia kwa mwaka huu wa 2021.
Nini maoni yako mwanabodi.
Swali la mwisho linauliza,amefanya nini?Deep laying Midfield unataka afunge magoli na atoe Assists? unazifahamu kazi za uwanjani za wachezaji kwa mujibu wa position zao?
Swali la mwisho linauliza,amefanya nini?
FIFA hawaangalii ushabiki wa kizembe kama wako huu mkuuAmefanya kazi yake kama midfield, amezisaidia timu zake kupata hayo mataji waliyonyakua
Swali la mwisho linauliza,amefanya nini?
FIFA hawaangalii ushabiki wa kizembe kama wako huu mkuu
Kesho hii kauli inaenda kutimia😂😂😂Messi atabeba hilo taji kama ni mzoefu na hila za fifa utakuwa ushajua nini namaanisha.
Kwa kuongoza kiungo cha Klabu yake ya Chelsea kushinda kombe ya ligi ya Mabingwa ya Ulaya na kwa kujenga kiungo Imara cha timu ya Taifa ya Italia na kuiwezesha kushinda kombe la Fainali za Euro 2020, Jorge Luiz Frello Filho almaarufu Jorginho ambaye huko Italia anajulikana kama "Regista"(DIRECTOR kwa kiingereza) anastahili kushinda hii tuzo na kuwa Mcheza bora wa dunia kwa mwaka huu wa 2021.
Nini maoni yako mwanabodi.
Kesho hii kauli inaenda kutimia😂😂😂
Wapo live muda huu lakini naona zomea zomea imetawala sana.Wanatangaza muda gani kwani
Nani anaezomea?Wapo live muda huu lakini naona zomea zomea imetawala sana.