Jorginho for Ballon D`or 2021

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
3,734
6,292
Kwa kuongoza kiungo cha Klabu yake ya Chelsea kushinda kombe ya ligi ya Mabingwa ya Ulaya na kwa kujenga kiungo Imara cha timu ya Taifa ya Italia na kuiwezesha kushinda kombe la Fainali za Euro 2020, Jorge Luiz Frello Filho almaarufu Jorginho ambaye huko Italia anajulikana kama "Regista"(DIRECTOR kwa kiingereza) anastahili kushinda hii tuzo na kuwa Mcheza bora wa dunia kwa mwaka huu wa 2021.



Nini maoni yako mwanabodi.
 
Hajaonesha kiwango cha maana cha kumuwezesha kushinda hiyo tuzo. Ana bahati tu ya kushinda mataji hayo mawili makubwa, basi.

Hapo Italia kwa mfano, kuna aliyeongoza kujenga kiungo imara kumshinda Verratti wa PSG?

Kulingana na ripoti mbalimbali, Messi ndiye anayeongoza kinyang'anyiro, akifuatiwa na Harry Kane, Kante na wengineo. Isitoshe, hii ni kabla ya Messi kuchukuwa Copa America na Argentina saa kadhaa zilizopita.
 
Hajaonesha kiwango cha maana cha kumuwezesha kushinda hiyo tuzo. Ana bahati tu ya kushinda mataji hayo mawili makubwa, basi.

Hapo Italia kwa mfano, kuna aliyeongoza kujenga kiungo imara kumshinda Verratti wa PSG?

Kulingana na ripoti mbalimbali, Messi ndiye anayeongoza kinyanganyiro, akifuatiwa na Harry Kane, Kante na wengineo. Isitoshe, hii ni kabla ya Messi kuchukuwa Copa America na Argentina saa kadhaa zilizopita.
Katika mashindano haya, Italy bila Jorginho gari lisinge waka, kijana achukue
 
Kwa kuongoza kiungo cha Klabu yake ya Chelsea kushinda kombe ya ligi ya Mabingwa ya Ulaya na kwa kujenga kiungo Imara cha timu ya Taifa ya Italia na kuiwezesha kushinda kombe la Fainali za Euro 2020, Jorge Luiz Frello Filho almaarufu Jorginho ambaye huko Italia anajulikana kama "Regista"(DIRECTOR kwa kiingereza) anastahili kushinda hii tuzo na kuwa Mcheza bora wa dunia kwa mwaka huu wa 2021.



Nini maoni yako mwanabodi.
Anasitahili
 
Katika mashindano haya, Italy bila Jorginho gari lisinge waka, kijana achukue
Angeanza kwanza kuchukua tuzo ya mchezaji bora wa Euro (Golden Ball). Hajachukua sababu hajastahili. Huko unakotaka apafikie bado ni parefu sana!

Kiungo mwenzake [Modric] alichukuwa UEFA CL, pia alichukuwa tuzo ya mchezaji bora wa Kombe la Dunia mwaka 2018 ndipo akashinda Ballon d'Or iliyofuata.
 
Angeanza kwanza kuchukua tuzo ya mchezaji bora wa Euro (Golden Ball). Hajachukua sababu hajastahili. Huko unakotaka apafikie bado ni parefu sana!

Kiungo mwenzake [Modric] alichukuwa UEFA CL, pia alichukuwa tuzo ya mchezaji bora wa Kombe la Dunia mwaka 2018 ndipo akashinda Ballon d'Or iliyofuata.

Mchezaji bora wa Ulaya, Ni Jorginho.

Wait and see mzee, Ntaupandisha huu uzi
 
Kwa kuongoza kiungo cha Klabu yake ya Chelsea kushinda kombe ya ligi ya Mabingwa ya Ulaya na kwa kujenga kiungo Imara cha timu ya Taifa ya Italia na kuiwezesha kushinda kombe la Fainali za Euro 2020, Jorge Luiz Frello Filho almaarufu Jorginho ambaye huko Italia anajulikana kama "Regista"(DIRECTOR kwa kiingereza) anastahili kushinda hii tuzo na kuwa Mcheza bora wa dunia kwa mwaka huu wa 2021.



Nini maoni yako mwanabodi.


Mbele ya Messi! Acheni kujifurahisha....
 
Back
Top Bottom