BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,020
- 8,480
Kwa kuongoza kiungo cha Klabu yake ya Chelsea kushinda kombe ya ligi ya Mabingwa ya Ulaya na kwa kujenga kiungo Imara cha timu ya Taifa ya Italia na kuiwezesha kushinda kombe la Fainali za Euro 2020, Jorge Luiz Frello Filho almaarufu Jorginho ambaye huko Italia anajulikana kama "Regista"(DIRECTOR kwa kiingereza) anastahili kushinda hii tuzo na kuwa Mcheza bora wa dunia kwa mwaka huu wa 2021.
Nini maoni yako mwanabodi.
Messi anachukua ya 7 asubuhi mapemaa, idadi ya ballon na namba 7 ya Jersey inayovaliwa na jamaa yako CR7 🤣🤣🤣🤣🤣