Cornel rambau
Member
- Aug 11, 2018
- 81
- 75
kwa hiyo tukubari mwendazake na kundi lake walifanya ni kweli.
Mbona ratiba ilishachapishwa?kumpeleka
kwa hiyo tukubari mwendazake na kundi lake walifanya ni kweli.
Mbona ratiba ilishachapishwa?kumpeleka
Namshukuru sana Roho wa Mungu kwa kumtwaa shetani yule wa Chato na kumtupa kuzimuTarehe 7 Sept 2017
Tundu Lissu anapigwa risasi mkoani Dodoma
October 2017
Jordan Rugimbana mkuu wa mkoa wa Dodoma anatumbuliwa.
Jordan ni mtoto wa Kamisna wa kwanza wa jeshi la magereza nchini. Baba yake alifariki kwa ajali kama sikosei enzi za Nyerere. Nyerere aliwachukua baadhi yao na kuwalea kama wanae.
Huyu alikuwa kada mtiifu wa UVCCM.
Kuna mwaka akawa kiongozi wa mbio za mwenge. Ghafla nyota yake ikawaka na kukwaa ukuu wa wilaya kadhaa kama vile Mwanga,Kinondoni na kuwa RC Dodoma.
Kipindi Tundu Lissu anapigwa risasi yeye ndio alikuwa mkuu wa mkoa wa Dodoma na mwenyekiti wa kamati ya inzi na usalama mkoa. Inasemekana kuna maelekezo toka juu hakuyafata kuhusiana na kumtibia na kumsafitisha majeruhi Lissu.
Baada ya kutumbuliwa akajifungia ndani akijiikita kufanya shughuli zake binafsi ikiwemo kusimamia ujenzi wa makumbusho ya kabila lao huko Karagwe.
Wanoko wakamfikishia taharifa hayati Magufuli kuwa yule bwana uliyemtumbua anajenga makumbusho kijijini kwao. Magufuli akaupiga stop ule mradi ambao ulikuwa hautumii fedha za umma bali wananchi na wafadhili. Na akamwambia amefungiwa mbinguni na duniani kamwe atalamba asali maishani mwake.
Huu ni mwaka wa nne wenzake akina Chalamila na Kafulila n.k wanatumbuliwa na kurudishwa, yeye yupo tu anacheza bao kijiweni.
Aendelee na ujenzi wa makumbusho, mama kasema kazi iendeleeTarehe 7 Sept 2017
Tundu Lissu anapigwa risasi mkoani Dodoma
October 2017
Jordan Rugimbana mkuu wa mkoa wa Dodoma anatumbuliwa.
Jordan ni mtoto wa Kamisna wa kwanza wa jeshi la magereza nchini. Baba yake alifariki kwa ajali kama sikosei enzi za Nyerere. Nyerere aliwachukua baadhi yao na kuwalea kama wanae.
Huyu alikuwa kada mtiifu wa UVCCM.
Kuna mwaka akawa kiongozi wa mbio za mwenge. Ghafla nyota yake ikawaka na kukwaa ukuu wa wilaya kadhaa kama vile Mwanga,Kinondoni na kuwa RC Dodoma.
Kipindi Tundu Lissu anapigwa risasi yeye ndio alikuwa mkuu wa mkoa wa Dodoma na mwenyekiti wa kamati ya inzi na usalama mkoa. Inasemekana kuna maelekezo toka juu hakuyafata kuhusiana na kumtibia na kumsafitisha majeruhi Lissu.
Baada ya kutumbuliwa akajifungia ndani akijiikita kufanya shughuli zake binafsi ikiwemo kusimamia ujenzi wa makumbusho ya kabila lao huko Karagwe.
Wanoko wakamfikishia taharifa hayati Magufuli kuwa yule bwana uliyemtumbua anajenga makumbusho kijijini kwao. Magufuli akaupiga stop ule mradi ambao ulikuwa hautumii fedha za umma bali wananchi na wafadhili. Na akamwambia amefungiwa mbinguni na duniani kamwe atalamba asali maishani mwake.
Huu ni mwaka wa nne wenzake akina Chalamila na Kafulila n.k wanatumbuliwa na kurudishwa, yeye yupo tu anacheza bao kijiweni.
Dawa za kiganga zipo, amini usiamini..Tundu Lissu alikuwa nyang'anyang'a, na matumaini ya kunusurika na kifo yalikuwa madogo sana.
..wengi waliamini kumpeleka Nairobi ilikuwa kuchoma pesa tu kutokana na hali mbaya ya kukatisha tamaa aliyokuwa nayo.
..hata Madaktari wa Nairobi wanaona kupona kwa Lissu ni miujiza.
Babako alitaka kumuua lissu matokeo yake kafa yeye na jeshi limemzunguka .Wewe Mdukuzi mimba uliyodungwa Magufuli itakuuwa kula malimao mengi sana. Utamtukana sana Magufuli lakini utatumia sana miradi yake.
Watch it....ahaaaauwepo wa LISU nchini ni faida kubwa mno ,Kama magufuli aliweza kuzindua sehemu project halafu LISU akaongea na wandishi habari ,magazeti yoooote yakaandika habari ya LISU na front page na picha kubwa za LISU ,magufuli akawekwa kurasa za mwisho nakapicha kadogo sio kazindogo
Nahapo ndipo ilizaliwa hii kitu,you are not free at that extent
Hajawahi kumtukana, tatizo mkiambiwa ukweli mnasema mmetukanwa, halafu unajisahau sana mbona hata wewe umeshatukanaOtolilwe ?
PLAN ya kumshirikisha Bashite iwe na B kweliKatika dili lolote lazima liwe na PLAN B ikiwezekana hata PLAN C ........ sasa hata wenyewe wanaweza kuwa walikuwa na plan B ila mazingira hayakuwa rafiki tena
Ana haki ya kutumia hiyo miradi maana ni Kodi yake imefanya hiyo miradi na sio fedha za JiweWewe Mdukuzi mimba uliyodungwa Magufuli itakuuwa kula malimao mengi sana. Utamtukana sana Magufuli lakini utatumia sana miradi yake.
Magufuli na majinga yake hayakuwa na akili za plan B wala CKatika dili lolote lazima liwe na PLAN B ikiwezekana hata PLAN C ........ sasa hata wenyewe wanaweza kuwa walikuwa na plan B ila mazingira hayakuwa rafiki tena
Ooh...Then hiyo ni issue nyingine.. inabidi achange karata upya.Zuio limekufa automatically,kazi iendelee ila kwa vile hakuna asali ya kulamba na hana mamlaka ni jobless kazi itakuwa ngumu sana,
Bila RC kujua wale Polisi waliondolewa na nani getini? Au bila RC kujua unadhani Ile plate number ya gari lililokua linamfuatilia Lissu lingeachwa tu??Mission za namna hiyo haziwezi kutegemea Mkuu wa Mkoa aisee! zinaundiwa kikosi maalumu kuanzia mpigaji mpaka Nesi atakae husika kumtibia au kusafisa maiti
Alitumwa na nani? yaani Kila anayemkosoa Rais katumwa so hata kina Bashiru na Mpina wametumwa kisa wanamkosoa Mama??Kisa
Hakushiriki IPASAVYO mauaji!!?
LAKINI huyu lisu!!!?
Aliifanya Nini jamuhuri hadi Baraka za shambulizi lake likafanyika!!?
Aliponzwa na waliomtuma!?!?!?
Acha ibaki ivo ivo!
Ndio maana viongozi waandamizi wa majeshi walipanguliwa it seems Samia hataki hiyo path ya violence so hawezi authorise mauaji ya Lissu mind you alienda kumuona hospital kule Nairobi so hiyo ni assurance tosha kwa Lissu juu ya usalama wake.Kama kweli shambulio la Lisu lilipangwa ndani ya nyumba nyeupe, nashauri aombe hifadhi ya kudumu huko huko alipo asirudi huku kwasababu nahofia sana waliokosea hesabu hadi leo (kama bado wako hai) hawana raha wakimuona.
Nilishangaa sana mwanyika kupewa ubungeAlitumwa na nani? yaani Kila anayemkosoa Rais katumwa so hata kina Bashiru na Mpina wametumwa kisa wanamkosoa Mama??
Cha kuchekesha hao Barrick/Acacia aliyekua Makam wa Rais wa hiyo taasisi ndio kapewa ubunge na JPM licha ya kuwa na kesi ya mabilioni. Kwanini hizo risasi asimiminiwe Mwanyika au Kafumu? Au Chenge? Yaani walioiba madini yetu wapo hai ila anapigwa risasi mtu ambaye hakuhusika hata utiaji Saini.
Aisee hii nchi ya ajabu sana