Jordan Rugimbana alimkosea nini Hayati Magufuli?

uwepo wa LISU nchini ni faida kubwa mno ,Kama magufuli aliweza kuzindua sehemu project halafu LISU akaongea na wandishi habari ,magazeti yoooote yakaandika habari ya LISU na front page na picha kubwa za LISU ,magufuli akawekwa kurasa za mwisho nakapicha kadogo sio kazindogo

Nahapo ndipo ilizaliwa hii kitu,you are not free at that extent
 
Tarehe 7 Sept 2017
Tundu Lissu anapigwa risasi mkoani Dodoma

October 2017
Jordan Rugimbana mkuu wa mkoa wa Dodoma anatumbuliwa.

Jordan ni mtoto wa Kamisna wa kwanza wa jeshi la magereza nchini. Baba yake alifariki kwa ajali kama sikosei enzi za Nyerere. Nyerere aliwachukua baadhi yao na kuwalea kama wanae.
Huyu alikuwa kada mtiifu wa UVCCM.

Kuna mwaka akawa kiongozi wa mbio za mwenge. Ghafla nyota yake ikawaka na kukwaa ukuu wa wilaya kadhaa kama vile Mwanga,Kinondoni na kuwa RC Dodoma.

Kipindi Tundu Lissu anapigwa risasi yeye ndio alikuwa mkuu wa mkoa wa Dodoma na mwenyekiti wa kamati ya inzi na usalama mkoa. Inasemekana kuna maelekezo toka juu hakuyafata kuhusiana na kumtibia na kumsafitisha majeruhi Lissu.

Baada ya kutumbuliwa akajifungia ndani akijiikita kufanya shughuli zake binafsi ikiwemo kusimamia ujenzi wa makumbusho ya kabila lao huko Karagwe.

Wanoko wakamfikishia taharifa hayati Magufuli kuwa yule bwana uliyemtumbua anajenga makumbusho kijijini kwao. Magufuli akaupiga stop ule mradi ambao ulikuwa hautumii fedha za umma bali wananchi na wafadhili. Na akamwambia amefungiwa mbinguni na duniani kamwe atalamba asali maishani mwake.

Huu ni mwaka wa nne wenzake akina Chalamila na Kafulila n.k wanatumbuliwa na kurudishwa, yeye yupo tu anacheza bao kijiweni.
Namshukuru sana Roho wa Mungu kwa kumtwaa shetani yule wa Chato na kumtupa kuzimu
 
Tarehe 7 Sept 2017
Tundu Lissu anapigwa risasi mkoani Dodoma

October 2017
Jordan Rugimbana mkuu wa mkoa wa Dodoma anatumbuliwa.

Jordan ni mtoto wa Kamisna wa kwanza wa jeshi la magereza nchini. Baba yake alifariki kwa ajali kama sikosei enzi za Nyerere. Nyerere aliwachukua baadhi yao na kuwalea kama wanae.
Huyu alikuwa kada mtiifu wa UVCCM.

Kuna mwaka akawa kiongozi wa mbio za mwenge. Ghafla nyota yake ikawaka na kukwaa ukuu wa wilaya kadhaa kama vile Mwanga,Kinondoni na kuwa RC Dodoma.

Kipindi Tundu Lissu anapigwa risasi yeye ndio alikuwa mkuu wa mkoa wa Dodoma na mwenyekiti wa kamati ya inzi na usalama mkoa. Inasemekana kuna maelekezo toka juu hakuyafata kuhusiana na kumtibia na kumsafitisha majeruhi Lissu.

Baada ya kutumbuliwa akajifungia ndani akijiikita kufanya shughuli zake binafsi ikiwemo kusimamia ujenzi wa makumbusho ya kabila lao huko Karagwe.

Wanoko wakamfikishia taharifa hayati Magufuli kuwa yule bwana uliyemtumbua anajenga makumbusho kijijini kwao. Magufuli akaupiga stop ule mradi ambao ulikuwa hautumii fedha za umma bali wananchi na wafadhili. Na akamwambia amefungiwa mbinguni na duniani kamwe atalamba asali maishani mwake.

Huu ni mwaka wa nne wenzake akina Chalamila na Kafulila n.k wanatumbuliwa na kurudishwa, yeye yupo tu anacheza bao kijiweni.
Aendelee na ujenzi wa makumbusho, mama kasema kazi iendelee
 
..Tundu Lissu alikuwa nyang'anyang'a, na matumaini ya kunusurika na kifo yalikuwa madogo sana.

..wengi waliamini kumpeleka Nairobi ilikuwa kuchoma pesa tu kutokana na hali mbaya ya kukatisha tamaa aliyokuwa nayo.

..hata Madaktari wa Nairobi wanaona kupona kwa Lissu ni miujiza.
Dawa za kiganga zipo, amini usiamini
 
uwepo wa LISU nchini ni faida kubwa mno ,Kama magufuli aliweza kuzindua sehemu project halafu LISU akaongea na wandishi habari ,magazeti yoooote yakaandika habari ya LISU na front page na picha kubwa za LISU ,magufuli akawekwa kurasa za mwisho nakapicha kadogo sio kazindogo

Nahapo ndipo ilizaliwa hii kitu,you are not free at that extent
Watch it....ahaaaa
 
Katika dili lolote lazima liwe na PLAN B ikiwezekana hata PLAN C ........ sasa hata wenyewe wanaweza kuwa walikuwa na plan B ila mazingira hayakuwa rafiki tena
Magufuli na majinga yake hayakuwa na akili za plan B wala C

Rais aliyepora korosho na kuwaambia jeshi wabangue hata kwa mabomu mwishowe akaishia kuzitupa baharini ana akili kiasi gani?
 
Mission za namna hiyo haziwezi kutegemea Mkuu wa Mkoa aisee! zinaundiwa kikosi maalumu kuanzia mpigaji mpaka Nesi atakae husika kumtibia au kusafisa maiti
Bila RC kujua wale Polisi waliondolewa na nani getini? Au bila RC kujua unadhani Ile plate number ya gari lililokua linamfuatilia Lissu lingeachwa tu??

Tanzania hatuna competence ya kiasi hicho unachofikiria. Kma kifo cha Rais kinavuja unadhani RC atashinda kuwa na informants kuhusu covert operations ndani ya mkoa wake? Maana asipojuzwa anaweza intercept alafu mambo yakaharibika.
 
Kisa
Hakushiriki IPASAVYO mauaji!!?

LAKINI huyu lisu!!!?

Aliifanya Nini jamuhuri hadi Baraka za shambulizi lake likafanyika!!?

Aliponzwa na waliomtuma!?!?!?

Acha ibaki ivo ivo!
Alitumwa na nani? yaani Kila anayemkosoa Rais katumwa so hata kina Bashiru na Mpina wametumwa kisa wanamkosoa Mama??

Cha kuchekesha hao Barrick/Acacia aliyekua Makam wa Rais wa hiyo taasisi ndio kapewa ubunge na JPM licha ya kuwa na kesi ya mabilioni. Kwanini hizo risasi asimiminiwe Mwanyika au Kafumu? Au Chenge? Yaani walioiba madini yetu wapo hai ila anapigwa risasi mtu ambaye hakuhusika hata utiaji Saini.

Aisee hii nchi ya ajabu sana
 
Kama kweli shambulio la Lisu lilipangwa ndani ya nyumba nyeupe, nashauri aombe hifadhi ya kudumu huko huko alipo asirudi huku kwasababu nahofia sana waliokosea hesabu hadi leo (kama bado wako hai) hawana raha wakimuona.
Ndio maana viongozi waandamizi wa majeshi walipanguliwa it seems Samia hataki hiyo path ya violence so hawezi authorise mauaji ya Lissu mind you alienda kumuona hospital kule Nairobi so hiyo ni assurance tosha kwa Lissu juu ya usalama wake.
 
Alitumwa na nani? yaani Kila anayemkosoa Rais katumwa so hata kina Bashiru na Mpina wametumwa kisa wanamkosoa Mama??

Cha kuchekesha hao Barrick/Acacia aliyekua Makam wa Rais wa hiyo taasisi ndio kapewa ubunge na JPM licha ya kuwa na kesi ya mabilioni. Kwanini hizo risasi asimiminiwe Mwanyika au Kafumu? Au Chenge? Yaani walioiba madini yetu wapo hai ila anapigwa risasi mtu ambaye hakuhusika hata utiaji Saini.

Aisee hii nchi ya ajabu sana
Nilishangaa sana mwanyika kupewa ubunge
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom