luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,295
- 8,258
- Thread starter
- #41
Mimi pia ni mnazi wa RhumbaNapenda sana rhumba za hawa magwiji
Mimi pia ni mnazi wa RhumbaNapenda sana rhumba za hawa magwiji
Ni nyimbo zinazoburudisha sanaJapokua mimi ni kizazi cha 90's lakini napenda sana nyimbo za zamani nmejikuta napenda tu na story za miaka hiyo
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
OkNgoja nikasikilie nyimbo zake U-tube
Good Job
Wakuu nawasalimu hasa Wale wapenzi wa Rhumba wenzangu
Msanii Jolie Detta aliandika historia ya kuwa mwanamke wa Kwanza kurekodi wimbo katika band ya muziki maarufu tp okk jazz iliyokuwa chini ya Franco Makiadi iliyoanzishwa miaka ya 1950's
Kabla ya kuja okk jazz mwanadada huyu alikuwa akiimba bend ndogondogo zisizo na majina na hatimaye mwaka 1986 marehemu Franco alimsajili rasmi tp okk jazz ambapo kutokana na kipaji chake Cha uimbaji alitunga wimbo maarufu uitwao " Massu" uliovuma sana Kipindi hicho,pia Jolie detta aliimba wimbo mwingine "Layile" ktk bendi hiyo kabla ya kuhama na kujiunga na bandi nyingine ya Bozi Boziana.
Jolie Detta ambaye ni chotara,akizaliwa na babá mgiriki na mama m kongomani alitamba na nyimbo maarufu Kama Massu,darse likotino,naboya kosambua, Layile,chérie okamus n.k.
Baada ya kifo Cha mumewe kwa jina Ndeko(ambaye inasemekana alifariki kwa Ukimwi), Jolie alihamia nchini Angola.Kwasasa Jolie ameokoka na anaimba nyimbo za injili huko jijini Zurich Uswisi ambapo baada ya kuokoka amebadili jina kwasasa anaitwa Évangéliste mirriame na huduma yake ya kanisa inajulikana Kama "welcome karibu".
Miaka kadhaa iliyopita wakati akihojiwa,alijutia Sana miziki ya kidunia aliyoimba pamoja na Mambo yote ya anasa aliyofanya huku akisisitiza ameokoka na hapendi kutambulika kwa jina hilo la jolie akisisitiza jina la Évangéliste mirriame.
NB
Admins naomba Uzi huu usiunganishwe pamoja na kwamba kuna uzi huku Kipindi Cha nyuma kuhusu msanii huyu kuzungumzia nyimbo zake,lakini uzi huu ni special kwa ajili yake kwasasa (latest) hivyo naomba usiunganishwe.
Cc
Masiya
Lucas Mobutu
View attachment 2011749View attachment 2011750
Nadhani ilikuwa rumors kwakua mumewe alikufa kwa ngomaluambo makiadi asante sana kwa post hii, mimi pia niliwahi mtafuta Jolie Detta mitandaoni na taarifa niliyopata ni kuwa alifariki, nimefurahi kujua kuwa ni mzima. Kwa kweli sauti yake ni ya dhahabu haswa katika wimbo Massu. Asante sana.
Wewe uko vizuri sana.Haukutoka 65 ulitoka miaka ya 80 mpongo mwenyewe aliingia okk jazz miaka hiyo ya 80 na alifariki 1994
Huyu ni mbibi wa kuzaliwa 50's?Hajazeeka huyu hapaView attachment 2012615
Nadhani ametumia mkorogo ukiangalia picha yake ya zamani alikuwa na rangi yake ya asili!!Kwann?
Alizaliwa 60'sHuyu ni mbibi wa kuzaliwa 50's?
Ni chotara Baba yake mgirikiNadhani ametumia mkorogo ukiangalia picha yake ya zamani alikuwa na rangi yake ya asili!!
Nani anajua zaidi yake mwenyewe mambo ya chumbani hayoNa miwaya aliinasa kwa Franco au?
Ahsante sasa, nimeelewa weupe wake ulikotoka!Ni chotara Baba yake mgiriki
Bozzi Boziana, kazeeka. Hivi schola Miel yupo wapi??Akitoa neno na Boss wake wa zamani View attachment 2017191
Mucongoman bila mukorogo maisha haiendi. Banacongo Hadi wanaume wanajichubua. Mtizame Koffi mikononi Ana sugu kama za shiloleNadhani ametumia mkorogo ukiangalia picha yake ya zamani alikuwa na rangi yake ya asili!!
Scola MielBozzi Boziana, kazeeka. Hivi schola Miel yupo wapi??
Kumbe Bozi Boziana kaokoka? Jamani wanamrudia muumba wao wanajutia Mambo mengi waliofanyaAkitoa neno na Boss wake wa zamani View attachment 2017191