vivii
Member
- Jun 15, 2021
- 48
- 73
InawezekanaKwa hiyo inawezekana Kawa nao
InawezekanaKwa hiyo inawezekana Kawa nao
ni mademu wawili mmoja anaitwa Baniel mwingine Nana, pia kuna wimbo mmoja wameimba wakiwa hapo OK Jazz mzuri sanaDaaa kisu kinoma jolie bebe,kuna wimbo aliimba franco na demu flani hivi Nakoma na PDG nikajua ndiyo huyo.
Mumewe alikufa mwaka nadhani 2010 hiviKama mumewe alikufa Kwa ukimwi iweje asavive hadi Leo kumbuka kipindi kile hakukuwa na ARVs
Wimbo wa Franco huo aliuimba kwa mafumbo akimaanisha kujihadhari na UkimwiAttention na SIDA.
Kwema Mkuu vipi huyu mume wa Jolie aliefariki una biograph yake?nimekuja Mkuu, uliadimika sana,kwema ?
We jamaa unampenda sana Franco.Wimbo massu unahusu kisa Cha marafiki watatu ambao mmoja wao alikuwa anatoa Siri za wengine
Aliutunga franco lakini akauimba jolie
Tuwekee picha za huyo jolie akiwa mbibi sasa hiviMumewe alikufa mwaka nadhani 2010 hivi
Ndio, aliimba mwanamama hivi. Ni mtamu sana.Wa Rhumba?
Hajazeeka huyu hapaTuwekee picha za huyo jolie akiwa mbibi sasa hivi
Haukutoka 65 ulitoka miaka ya 80 mpongo mwenyewe aliingia okk jazz miaka hiyo ya 80 na alifariki 1994sema nyimbo za zamani sijui zilikuwa zinaimbwaje yani,mtu unazaliwa unaukuta unaupuuza,ukiishakuwa mtu mzima ndio unaanza kuona uzito wa nyimbo husika hata kama huzielewi.
kama ule wa love ndaya,umetoka 65,mara ya kwanza kuusikia ilikuwa 95 nikauelewa nikidhani hauna maisha mengi kumbe eeeeh.
Off courseNa miwaya aliinasa kwa Franco au?
Kwann?Amegeuka kuwa mzungu!?
Kwann? Najua kifaransa kiasiWe jamaa unampenda sana Franco.
By the way unafahamu kikongo/Lingala?