Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,987
chezea wazee wa michepuko wewe. Watapata tu pa kuchepuka hata chooni tu
hv unaju mzee ana vyungu vitano?!
chezea wazee wa michepuko wewe. Watapata tu pa kuchepuka hata chooni tu
anajishaua katembea nae kipindi washaachana mpaka wakataka kupigana na leyla
hv unaju mzee ana vyungu vitano?!
Ila leila na chiku nao haziivi afu wifi yao khadija yusufu anamsapoti chiku so mpk sasa leila na khadija wana bifu na hawaongei
sijui binam, hebu nijuze
ana ndoa tano hvyoo mzee
leyla wanadai ana majivuno ndo maana hawaelewani
Kwenye wimbo wa domo la udaku kuna mistari hayo kwangu matapishi ww unayojivunia
anajishaua katembea nae kipindi washaachana mpaka wakataka kupigana na leyla
Mimi nampenda sana Sabah Salum japo umri ushakwenda lakini she is beautful to me
Kweli ni kafupi na hakana mwiliWe utakua unamuona Jokha kwenye tv. Huhamuona live.
1. Rangi si yake anaongeza weupe kwa mkorogo
2 nywele za kubandika si zake zile, hana kama mimi
3 shape sasa, ndo utachoka. Mbele ziro nyuma hakujulikani
4 avae high heels basi hata ft 4 hafiki.
Mbaya kuliko yote, kuimba hajui lkn hizo pozi zake. Mmmhu. Angekua kama Sabah mwinchacho sijui angeringaje
Mimi nampenda sana Sabah Salum japo umri ushakwenda lakini she is beautful to me
Huyu dada muimbaji wa muziki wa mwambao kweli ni ameumbika haswaaa. Sijui anafanya kazi na kundi gani kwa sasa
Rangi yake ni ile ya watu wa mashariki ya mbali au wanaita rangi ya mtume. Nywele za kuzaliwa sio za wigi, si mrefu wala mfupi yupo wastani. Kwa kweli mimi namkubali sana.
Sijui kama ni Single or married zaidi tu ni kwamba walizaa mtoto mmoja na mzee yusuph wakaachana.
Wana Jamiiforums mwenye mawasiliano yake ani-pm tafadhali, namzimikia sana, sijui kama mke wa mtu au vipi, au kama yupo humu ani-pm.
Kupenda si ajabu. Mwenye picha yake atuwekee.
Mimi nampenda sana Sabah Salum japo umri ushakwenda lakini she is beautful to me
ana ndoa tano hvyoo mzee