Haujaona movie ya joker wa sasaHeath ledger ndio joker wa ukweli
Ukiona ni mwanamke anapenda kuangalia horror movie na haogopi kuzitazama ana enjoy. Hao ndio wale mabinti anakuwacha bila sababu na unavyoumia unabembeleza arudi hafeel chochote anaona ni sawa tu wewe kuumia moyo na kuteseka...Kuna watu hata hizi horror movies zinawaburudisha, sijui kivipi lakini wapo aina hiyo ya watu, ni sawa na wanaosikiliza ile miziki ya makelele sijui inaitwaje, lakini inawashabiki wake.
Burudani ziko tofauti sana, kuna wanao burudika kuuua, au kuumiza wenzao. Yani anapo kusurubu yeye anaburudika.
Kule Colorado waliruhusu recriational marijuana, yani kuvuta bangi ili kuburudika, hapa kwetu wapo ambao wangependa hivyo kuna kina Musukuma lakini ndio serikali imekataa burudani zenye madhara kwa binadamu.
Burudani ni pana sana.
None of those movies zinaexplain phenomenon kama ya jokerHiyo ya Concussion sijaiona. Lakini Gemini man si inahusu Human Croning
Aaaauuwh baby......come here..... Njoo nikupe hug... U need it.Mi nilikuaga mvivu sana kipindi naishi na mama angu alipenda kuniita mvivu...alipofariki nikaanza kukaa na mamkubwa nikashangaa mamkubwa akawa ananambia wewe wala sio mvivu akikuta sijaamka mbka sa 2 ananiamsha ananambia wewe mchapa kazi unalalake mbka saiz, na haikua katika hali ya kunidhihaki bali alikua siriaz anashangaa kwann binti ake sio mvivu alale mbka sa mbili..alikua akikuta nimepika ananambia nilijua tuu wewe ni champion ntakuta ushapika wakat huo kaz zngine sijafanya..
Basi kwa style io nikajua kumbe mm si mvivu mbka mama ananiita champion nikaanza kua mchapa kazi mzur uvivu cjui uliishia wapi.