MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,693
- 21,765
Jokate Mwegelo amekataa katakata kushinda ofisini na kusaini karatasi zinazokuja badala yake ameamua kushinda field na kuwa kivutio kikubwa kwa jamii ya wenyeji wa kisarawe,wazaramo.
Wananchi wengi wa Kisarawe wamewaimiza mabinti zao wawe warembo, wachapakzi na maDC kwa pamoja maana yote yanawezekana.
DC Jokate ambaye pia ana shamba lake ekari mbili ambalo analima mwenyewe mihogo amekuwa akitumia muda mwingi kukagua na kushiriki miradi ya maendeleo na muda wake wa ziada akitumia kuhudumia shamba lake ambapo amedai katikati ya mwaka huu atakuwa anakula jasho lake mwenyewe.