RRONDO Platinum Member Joined Jan 3, 2010 Posts 57,833 Reaction score 129,740 May 12, 2017 #81 Joisi ana akili sana. Amejibu kiuhalisia na sio kama waliokaririshwa mashuleni. Mfano wangeulizwa watoto wengi ambao hawakuwahi kufundishwa hio misemo wangejibu nini? Btw aliojibu hapo sio mtoto otherwise ana IQ kubwa.
Joisi ana akili sana. Amejibu kiuhalisia na sio kama waliokaririshwa mashuleni. Mfano wangeulizwa watoto wengi ambao hawakuwahi kufundishwa hio misemo wangejibu nini? Btw aliojibu hapo sio mtoto otherwise ana IQ kubwa.
M mangatara JF-Expert Member Joined Jul 6, 2012 Posts 14,517 Reaction score 14,167 May 12, 2017 #82 mshana jr; Leo umeianzisha kwa kicheko siku yangu. Dah! Yuko skuli gani jamani? Anafaa kupelekwa South kwenda kukifundisha kiswahili kule.
mshana jr; Leo umeianzisha kwa kicheko siku yangu. Dah! Yuko skuli gani jamani? Anafaa kupelekwa South kwenda kukifundisha kiswahili kule.
INGENJA JF-Expert Member Joined Sep 11, 2012 Posts 4,990 Reaction score 4,266 May 12, 2017 #83 Ibn Ayoub said: kumuona mshenzi huyu jois ni kumbaka kimawazo kwani nae anamtizamo na mawazo pia Click to expand... π±π±π±ππ nazareti kabisa wewe,bladi fuli kijana huna nidhamu wewe
Ibn Ayoub said: kumuona mshenzi huyu jois ni kumbaka kimawazo kwani nae anamtizamo na mawazo pia Click to expand... π±π±π±ππ nazareti kabisa wewe,bladi fuli kijana huna nidhamu wewe
jogi JF-Expert Member Joined Sep 25, 2010 Posts 25,556 Reaction score 25,362 May 12, 2017 #85 mshana jr said: kwa mujibu wa joisi ina maana mtu mwenye kipara hana akili? katoto kachochezi haka.... Kwa vyovyote katakuwa UKAWA haka Click to expand... Teh teh teh.
mshana jr said: kwa mujibu wa joisi ina maana mtu mwenye kipara hana akili? katoto kachochezi haka.... Kwa vyovyote katakuwa UKAWA haka Click to expand... Teh teh teh.
ipogolo JF-Expert Member Joined Aug 15, 2011 Posts 6,280 Reaction score 5,987 May 13, 2017 #86 Joisi yupo vizuri kichwani.
Dominick mibazi Senior Member Joined Nov 4, 2016 Posts 177 Reaction score 96 May 13, 2017 #87 Aende bagamoyo kusomea sanaa
HARUFU Platinum Member Joined Jan 21, 2014 Posts 31,704 Reaction score 48,140 May 22, 2017 #88 Kiongozi ....
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,743 Reaction score 830,856 May 22, 2017 Thread starter #89 HARUFU said: Kiongozi .... Click to expand... Siku hizi mbona mwendo wa kinyonga?
HARUFU Platinum Member Joined Jan 21, 2014 Posts 31,704 Reaction score 48,140 May 22, 2017 #90 mshana jr said: Siku hizi mbona mwendo wa kinyonga? Click to expand... Kiongozi kwanini?
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,743 Reaction score 830,856 May 22, 2017 Thread starter #91 HARUFU said: Kiongozi kwanini? Click to expand... Unaonekana kwa kulenga
HARUFU Platinum Member Joined Jan 21, 2014 Posts 31,704 Reaction score 48,140 May 22, 2017 #92 mshana jr said: Unaonekana kwa kulenga Click to expand... Kiongozi, Ukubwa na Majukumu yanaongezeka
ISIS JF-Expert Member Joined Apr 20, 2016 Posts 96,072 Reaction score 858,572 May 22, 2017 #93 INGENJA said: mshenzi kabisa huyu mtotoπ‘π‘π‘π‘π±π±π± Click to expand... Hahahaha