John Shibuda: Adui wa Demokrasia nchini ni njaa ya wanasiasa na kusumbukia matumbo yao

Kande

Senior Member
Mar 15, 2016
116
106
John Shibuda, Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini amesema adui mkubwa wa ustawi wa Demokrasia Tanzania ni njaa ya wanasiasa ambayo inawafanya kusumbukia matumbo yao na kuacha pembeni maslai ya taifa.

Amesema hayo leo katika mdahalo uliondaliwa na Twaweza kujadili Mstakabali wa Demokrasia ukiangazia wapi watanzania tumekosea katika kuendesha siasa za amani ana uzalendo.

"Ugonjwa mkubwa wa watanzania nia njaa, wanasiasa wanasumbukia matumbo yao na kuacha maslai ya taifa", amesema Shibuda na kuwataka watanzania waache unafiki na wapiganie demokrasia ya kweli kwa kuwapinga wanasiasa waongo.

Naye John Heche, Mbunge wa Tarime Vijijini amesema Demokrasia tunayoitaka ni demokrasia ya wananchi kuwa na uwezo na kuwa huru kufanya siasa na kuchagua chama wanachokitaka. Maoni yao yaheshimiwe lakini kuwaambia mmekosea kumchagua mgombea wa chama fulani sio dhana njema.
 
Yuko sahihi shibuda wanasiasa na yeye akiwemo anajua kuwa huwa wanasumbukia matumbo yao. Badala njaa ya wananchi
 
John Shibuda, Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini amesema adui mkubwa wa ustawi wa Demokrasia Tanzania ni njaa ya wanasiasa ambayo inawafanya kusumbukia matumbo yao na kuacha pembeni maslai ya taifa.

Amesema hayo leo katika mdahalo uliondaliwa na Twaweza kujadili Mstakabali wa Demokrasia ukiangazia wapi watanzania tumekosea katika kuendesha siasa za amani ana uzalendo.

"Ugonjwa mkubwa wa watanzania nia njaa, wanasiasa wanasumbukia matumbo yao na kuacha maslai ya taifa", amesema Shibuda na kuwataka watanzania waache unafiki na wapiganie demokrasia ya kweli kwa kuwapinga wanasiasa waongo.

Naye John Heche, Mbunge wa Tarime Vijijini amesema Demokrasia tunayoitaka ni demokrasia ya wananchi kuwa na uwezo na kuwa huru kufanya siasa na kuchagua chama wanachokitaka. Maoni yao yaheshimiwe lakini kuwaambia mmekosea kumchagua mgombea wa chama fulani sio dhana njema.




chama cha mapinduzi kilishakufa zamani,ukitaka kulifahamu hilo nipale dola inapotumika kwenye chaguzi hata kama hakuna fujo.waweza kujiuliza palikuwa na sababu ipi wapigakura kupigwa mapanga?,kulikuwa na sababu gani viongozi wa chadema kukamatwa kila kona?
 
Back
Top Bottom