John Pombe Magufuli faces cash crisis

John Pombe Magufuli faces cash crisis

Guys...hii issue ya financial crisis ni uzushi mtupu. Juzi hapa zaidi ya billioni 15 na ushee imepelekwa bodi ya mikopo ya elimu ya juu. Na kana kwamba hiyo haitoshi, trillion 1.7 imekusanywa na TRA kwa mwezi wa huu wa kumi tu.

Robo ya kwanza (julai-sept) imekatika na sasa robo ya pili (octo-disem) inaelekea katika...hakuna ruzuku za miradi ya maendeleo zilizotua katika Halmashauri..hadi sasa.

Unataka waambia nini wapiga Watanzania?!
 
Acha tule nyasi wote mmeipenda wenyewe ccm ni ileile wacha tuisome namba wote,mimi sikuichagua ccm.
 
Guys...hii issue ya financial crisis ni uzushi mtupu. Juzi hapa zaidi ya billioni 15 na ushee imepelekwa bodi ya mikopo ya elimu ya juu. Na kana kwamba hiyo haitoshi, trillion 1.7 imekusanywa na TRA kwa mwezi wa huu wa kumi tu.

we mpumbavu kweli,bilion 15 ni kwa wanafunzi wangapi na hiyo 1.7b imeokotwa na nani,perfomance ya miezi minne ni 97% kadanganye kina nape
 
Hakuna cash crisis yeyote serikali inapesa ya kutosha ndio maana imeweza kuongeza idadi wa wanafunzi kupata mikopo na kulipia matengenezo ya machine za hospital ya billion tatu kilichopo ni mapiganio ya cheo cha ukurugenzi wa TRA nothing more ni mwendo tu wa kuchafuana ili mtu aonekane hafai.
 
we mpumbavu kweli,bilion 15 ni kwa wanafunzi wangapi na hiyo 1.7b imeokotwa na nani,perfomance ya miezi minne ni 97% kadanganye kina nape
Yaani kwa akili zako unaamini kabisa hayo yaliyoandikwa The Citizen? Wao wenyewe hawana uhakika na wanachoandika, wanabakia kusema "...it is likely...". Na hata hivyo vyanzo vyao vya habari hawavitaji. Hakuna siku The Citizen wameandika makala ya mizani uwiano (balanced reporting) kuhusu serikali. Na bado unawaita wenzako wapumbavu. Kalagabaho.
 
Guys...hii issue ya financial crisis ni uzushi mtupu. Juzi hapa zaidi ya billioni 15 na ushee imepelekwa bodi ya mikopo ya elimu ya juu. Na kana kwamba hiyo haitoshi, trillion 1.7 imekusanywa na TRA kwa mwezi wa huu wa kumi tu.

BIL 15 kwa nchi ni hela ya chai tu
 
Kama Magufuli yuko serious aanze na yule ndugu yake Kinana msomali wa TRA na kuweka mtu mwenye uchungu na hii nchi.

TRA wamechoka wanakusanya kodi kizamani kwa kukadiria huku wanachukua rushwa. Mfano mdogo ni kodi za leseni za magari, usipojiwekea kalenda ya kukukumbusha unaweza kukaa mwaka mzima bila kulipa. Wana namba za simu, wana emails lakini wanashindwa hata kutuma reminder kwa wateja walipe kodi. Kama hawana shida na hela wakati watu wanakosa huduma hela haikusanywi kwa wakati
 
Mh Rais kwa spidi yako ya suprises, Si uwaingilie pale Stanbic Bank wakueleze zile za Escrow labda kuna chenji, itasukuma shughuli zako mwanzo mwanzo? Au na wewe huna ubavu kugusa pale?
 
kiukweli hali si nzuri hili lazima tukiri en tuombe Mungu mambo yakae sawa huu sio muda wa kubishana na kulumbana na kujipa matumaini kua tuna hali nzuri il hal kla kona watu wanaumia,tupige kazi na kupeana moyo kma kuharibu ndo tulishaharb Jk muachen aende zke tudil na hyu alie madarakan atuvushe
 
Hiyo ni kweli, mpaka mashirika makubwa ya serikali kama TANESCO, yanashindwa kuajiri kwa kukosekana fedha. Pesa zote zimesha katika kampeni
 
Kama Magufuli yuko serious aanze na yule ndugu yake Kinana msomali wa TRA na kuweka mtu mwenye uchungu na hii nchi.

TRA wamechoka wanakusanya kodi kizamani kwa kukadiria huku wanachukua rushwa. Mfano mdogo ni kodi za leseni za magari, usipojiwekea kalenda ya kukukumbusha unaweza kukaa mwaka mzima bila kulipa. Wana namba za simu, wana emails lakini wanashindwa hata kutuma reminder kwa wateja walipe kodi. Kama hawana shida na hela wakati watu wanakosa huduma hela haikusanywi kwa wakati

Mwenye uchungu na nchi nani mbowe!?
 
Do 7 trilion kazikopa mwaka wa mwisho wa mkulu aliye stafu... wakati yeye kakuta deni zima 11 trilion.... hii ni kiboko....
 
Kama Magufuli yuko serious aanze na yule ndugu yake Kinana msomali wa TRA na kuweka mtu mwenye uchungu na hii nchi.

TRA wamechoka wanakusanya kodi kizamani kwa kukadiria huku wanachukua rushwa. Mfano mdogo ni kodi za leseni za magari, usipojiwekea kalenda ya kukukumbusha unaweza kukaa mwaka mzima bila kulipa. Wana namba za simu, wana emails lakini wanashindwa hata kutuma reminder kwa wateja walipe kodi. Kama hawana shida na hela wakati watu wanakosa huduma hela haikusanywi kwa wakati
Kitufe cha like mkuu... mlipa kodi anakuwa kama ombaomba mbele ya macho ya hawa jamaa...
 
Anamaanisha unanunua magari ya ----- na posho kede za warugaruga ili tia maji tia maji tushinde halafu kumbe kapu jeupe???
Nashukuru kwa kumtoholea, haswaa nilimaanisha hivi kama hajaelewa tena basi 'chei, cheiiiiiiiiiii'
 
Hakuna cash crisis yeyote serikali inapesa ya kutosha ndio maana imeweza kuongeza idadi wa wanafunzi kupata mikopo na kulipia matengenezo ya machine za hospital ya billion tatu kilichopo ni mapiganio ya cheo cha ukurugenzi wa TRA nothing more ni mwendo tu wa kuchafuana ili mtu aonekane hafai.

huu ni usanii. kwa mfano mwanafunzi aliyestahili mkopo wa ada kwa asilimia 80% anaambulia 20% asilimia 60% iliyobaki inaenda kwa wanafunzi wa tatu hapo si utakuwa umeongeza wakopeshwaji huku wengi wakiteseka.
 
Guys...hii issue ya financial crisis ni uzushi mtupu. Juzi hapa zaidi ya billioni 15 na ushee imepelekwa bodi ya mikopo ya elimu ya juu. Na kana kwamba hiyo haitoshi, trillion 1.7 imekusanywa na TRA kwa mwezi wa huu wa kumi tu.

Pesa zote zimeishia kwenye kampeni za ccm..
 
Back
Top Bottom