TANZIA John Nyerere afariki dunia

Kumbe Magige ndio John! Nilikuwa sijapata picha.
R.I.P Magige

Mimi naona mnanichanganya na haya majina,naomba mwenye uelewa atuwekee majina ya watoto wa Mwalimu J K NYERERE kuanzia mtoto wa kwanza hadi wa mwisho kwa majina yao ya kikristo na kiasili mfano kama Rosemary Boke Nyerere.
 
Poleni sana familia ya Nyerere, John alikuwa rafiki wa wote hata watoto wadogo walimpenda John. Binafsi alinifundisha karate katika viwanja vya Ikulu nikiwa kijana mdogo sana. Sina mengi sana ya kusema zaidi ya kukuombea pumziko jema la milele pia nakupa pole Petro rafiki yangu wa utotoni kwa kufiwa na baba yako mzazi

Lini hiyo ilikua?

pole kwa kuondokewa na mwalimu
 
My friend let's agree we are visitors when time cames we go where we belong. So my dear friend John rest in piece as your time has come. Amen
 
Mimi naona mnanichanganya na haya majina,naomba mwenye uelewa atuwekee majina ya watoto wa Mwalimu J K NYERERE kuanzia mtoto wa kwanza hadi wa mwisho kwa majina yao ya kikristo na kiasili mfano kama Rosemary Boke Nyerere.

Uko sawa mkuu hata mimi nilikuwa sifahamu jina la John, nilikuwa nafahamu jina la Magige, ni vizuri kwa anayefahamu majina ya watoto wote wa mwalimu atuwekee.
 
wangekua familia zilizojimilikisha nchi tungesikia kafia ughaibuni.pole bibi(maria nyerere)
 
Poleni wafiwa. nadhani ni huyo katikati kwenye picha.

wajukuu.jpg



R.I.P. Capt. John Nyerere....my fellow Pilot...!!!!
You are our lovely country's veteran, though you kept low profile so long....!!!!

Mmmmh...hali yake ilikuwa inatisha sana ktk, hiyo picha....:

Mungu akuweke mahala pema peponi, see u there...!!!
 
Uko sawa mkuu hata mimi nilikuwa sifahamu jina la John, nilikuwa nafahamu jina la Magige, ni vizuri kwa anayefahamu majina ya watoto wote wa mwalimu atuwekee.

1.Andrew aka Ganesh 2.Anna 3.Emil Magige 4.John Guido 5.Charles Makongoro 6.Madaraka 7. Rosemary
 
Nakubaliana na wewe huu ni wakati wa kumuombea marehemu apumzike kwa amani na kuwatakia wafiwa wapate nguvu na utulivu kwa kuondokewa na ndugu yao.

Mambo ya usalama hayanihusu kama wanafanya kazi yao vizuri au la ila nachojua Taifa liko salama. Tusiwape lawama maana hawana uwezo kisheria kumfunga mtu jela na Polisi nao pia hawana uwezo huo.

Peleka UPOPOMA Wako Huu Kuzimu!
 
Mungu amrehemu
awape nguvu wafiwa wote ndugu namarafiki. Nazaidi awaongozew watoto kwenye. Kugawana urithi
 
Back
Top Bottom