Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,249
- 98,242
Vita ya majimaji iliongozwa na Kinjeketile na akaweza kuwashawishi wananchi wengi vijana wakajiunga na jeshi lake.
Vita ya majimaji ilikuwa na wapiganaji walikuwa na Imani kubwa kuwa watawashinda wazungu pamoja na hawakuwa na uwezo wa kuwashinda.
Leo hii tunashihudia John Nchimbi akionyesha ushawishi uleule wa Kinjeketile wa kuaminiwa na wana ccm kiasi cha kumkinbia bi Msumi na kujiunga na Nchimbi.
Huu mchezo unaenda kaimaliza CCM mapema sana kuliko tulivyofikiria .
Watakuelewa wachache ila vilio itasikika baada ya 2030.
Vita ya majimaji ilikuwa na wapiganaji walikuwa na Imani kubwa kuwa watawashinda wazungu pamoja na hawakuwa na uwezo wa kuwashinda.
Leo hii tunashihudia John Nchimbi akionyesha ushawishi uleule wa Kinjeketile wa kuaminiwa na wana ccm kiasi cha kumkinbia bi Msumi na kujiunga na Nchimbi.
Huu mchezo unaenda kaimaliza CCM mapema sana kuliko tulivyofikiria .
Watakuelewa wachache ila vilio itasikika baada ya 2030.