Huyu alikuwa mfanyabiashara pia. Wafanyabiashara wa Tanzania mnawajua. Poleni wafiwa na CCM.Uhasama ndani ya chama ndio unaopelekea mauaji ya viongozi wa chama hicho
Wakati CHADEMA wanabadilisha rangi za bendera yao na kuweka rangi nyekundu ndani ya bendera mpya, watu wengi tulikuwa hatujawaelewa .
Ila hivi sasa kwa yanayo jidhihirisha ni wazi kabisa maana ya rangi hiyo inaonekana wazi. Kwani matukio ya hivi karibuni ya kutaka kumuua Mh. Mbunge wa Tarime kwa kumpiga mawe , na jana kumpiga risasi Mwenyekiti wa halmashauri ya Rungwe, yaonekana kabisa kuna mkono wa CHADEMA na kuna kikosi maalum cha mauaji kimeundwa kwa ajili ya kutekeleza yale yaliyomo kwenye bendera yao ya alama nyekundu ambayo ni mauaji na umwagaji damu
Pole sana wafiwa wote na mungu ailaze mahali pema roho ya marehemu. Nafikiri ni mapema sana kuhusisha mauaji hayo na masuala ya kisiasa. Tusubiri uchunguzi wa polisi kwanza.
Mbeya haijafika hapo na Rungwe ni katika wilaya zenye utulivu mkubwa kisiasa hata kama mapambano ya hoja yapo kama kawaida mitaani.
Kiwira ni kwa profesa Mwakyusa ila mwenyekiti alikuwa wa majimbo yote mawili yaani la prof. Mwakyusa pamoja na prof. Mwandosya.
Inawezekana wameona hayavuliki kirahisi yameng'ang'ania shingoni dawa ni kutumia short cut.CCM wameanza kuvuana magamba ka staili hiyo?
Nafikiri hata mauaji ya Kolimba zilikuwa njama za Chadema teh teh teh akili mgando kweli kweli.Wakati CHADEMA wanabadilisha rangi za bendera yao na kuweka rangi nyekundu ndani ya bendera mpya, watu wengi tulikuwa hatujawaelewa .
Ila hivi sasa kwa yanayo jidhihirisha ni wazi kabisa maana ya rangi hiyo inaonekana wazi. Kwani matukio ya hivi karibuni ya kutaka kumuua Mh. Mbunge wa Tarime kwa kumpiga mawe , na jana kumpiga risasi Mwenyekiti wa halmashauri ya Rungwe, yaonekana kabisa kuna mkono wa CHADEMA na kuna kikosi maalum cha mauaji kimeundwa kwa ajili ya kutekeleza yale yaliyomo kwenye bendera yao ya alama nyekundu ambayo ni mauaji na umwagaji damu
Nafikiri hata mauaji ya Kolimba zilikuwa njama za Chadema teh teh teh akili mgando kweli kweli.